Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPPINESS: KUWA MISS TZ SI LAZIMA UWE MCHARUKO!

Stori: Imelda Mtema
Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili. Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Happy alisema kuwa anaamini siyo kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa mcharuko, bali inategemea na uelewa wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa

Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...

 

10 years ago

Michuzi

Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London

By Ayoub Mzee –London Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya is in town in time for the festive season where she will experience the famous Christmas spirit that can be found in England's capital city. For a little over three weeks, she and the other contestants will experience the wonder of England's vibrant multicultural metropolis as she takes part in the Miss World Challenge Events and prepare herself for the Big Final!The events start from 20th November, culminating in the Grand...

 

10 years ago

Bongo5

Kamati ya Miss Tz yadaiwa kushindwa kukamilisha mahitaji ya Happiness kwenda Miss World

Mama mzazi wa Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa ameitupia lawama kamati ya Miss Tanzania kwa kushindwa kutimiza mahitaji ya mtoto wake ili kumwezesha kwenda kushiriki mashindano ya Miss World. Mshindi wa Miss Tanzania 2013 Happyness Watimanywa akiwa na Mama yake mzazi Akizungumza na E-newz wa Eatv leo, Mama Happiness amesema amekuwa akifatilia kwa kamati hiyo […]

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUMPE SUPPORT MISS TANZANIA HAPPINESS WATIMANYWA KWENYE SHINDANO LA MISS WORLD 2014‏‎


    Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014. Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii."Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Watanzania tumpe support Miss Tanzania Happiness Watimanywa kwenye shindano la Miss World 2014‏‎

MISS TANZANIA 2014

 Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014.

Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

“Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

TheCitizen

Happiness: Miss World here I come

>Happiness Waitimanywa is Tanzania’s representative at the Miss World contest that is scheduled to take place in a couple of weeks.  At the end of last week she left for London and she is upbeat even though the  odds are up against her.

 

9 years ago

Bongo5

Redio na TV zitawalipa wasanii, asilimia 60 ya muziki utaochezwa lazima uwe wa nyumbani – Nape

Waziri Nape akihojiwa

Wakati baadhi ya wasanii na wadau mbalimbali wa burudani nchini wakiendelea kuwa na hofu juu ya mfumo mpya unaovitaka vituo vya redio na runinga kuwalipa wasanii mirahaba inayotokana na kucheza kazi zao, serikali imesema imeunda sheria ambayo itavifanya vishindwe kuepuka kucheza nyimbo za wasanii wa ndani.

Waziri Nape akihojiwa

Akizungumza na Bongo5 Jumanne hii kwenye uzinduzi wa filamu ya ‘Home Coming’ Mlimani City jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani