Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB:Namuona Wema Akishika Nyadhifa Kubwa Siku za Usoni

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram amempongeza na kumpa moyo staa mwenzake Wema Sepetu kwa kumtabilia makubwa siku za usoni baada ya staa huyo kukosa kura za kutosha kwenye kinyang’anyiro ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi.

JB  aliandika;

Watu wote masikio yao yalikuwa singida leo...kwa sababu moja tu....wema sepetu...mikoa mingine itapita wala watu hawatajua kama majina yametangazwa....mwanangu @wemasepetu. wewe ni wa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Gonorrhoea kutotibika siku za usoni

0EBDC04700000514-3375525-Dame_Sally_Davies_has_reportedly_told_doctors_that_the_strain_fi-a-2_1451238104073

Gonorrhoea ipo kwenye hati hati ya kushindwa kutibika siku za usoni, kwa mujibu wa daktari mashuhuri wa nchini Uingereza.

0EBDC04700000514-3375525-Dame_Sally_Davies_has_reportedly_told_doctors_that_the_strain_fi-a-2_1451238104073
Dame Sally Davies

Kwa mujibu wa daktari huyo, Dame Sally Davies ugonjwa huo sasa hautibiki tena kwa antibiotic ya azithromycin ambapo ripoti za wagonjwa walioathirika zimeripotiwa huko Macclesfield, Oldham na Scunthorpe.

Amesema Gonorrhoea imeendelea kuwa king’ang’anizi kwa antibiotics nyingi mpya. Mwaka jana pekee watu 35,000 waliripotiwa kuugua ugonjwa huo nchini...

 

10 years ago

Bongo5

Happiness ni #2 kwenye People’s Choice Award, akishika #1 ataingia Top 10 Miss World

Watanzania bado wanaendelea kuonyesha nguvu zao duniani baada ya kumwezesha Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa kushika nafasi ya pili katika kura za People’s Choice Award. Akikamata nafasi ya kwanza ataingia moja kwa moja kwenye top ten ya mashindano ya Miss World yanayofanyika leo London, Uingereza. “Hello every one . Asanteni sana kwa kura zote na […]

 

11 years ago

Habarileo

Mvua kubwa kunyesha siku 3

MVUA kubwa ya vipindi inayozidi milimeta 50 ndani ya saa 24, inatarajiwa kunyesha kwa siku tatu mfululizo hadi kesho. Hadhari hiyo iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agnes Kijazi kuwa tahadhari hiyo inaanzia Machi 5 hadi kesho.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua kubwa, mawimbi baharini kutikisa siku 4

Dk Agness KijaziMAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo vipindi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kwa siku nne mfululizo.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaokabidhiwa nyadhifa wazingatie uadilifu -Askofu

Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Zanzibar, Michael HafidhVIONGOZI wanaokabidhiwa nyadhifa mbalimbali za uongozi nchini, wametakiwa kutenda uadilifu kwa wananchi kwa ajili ya kukuza uchumi na kuleta maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto aanza kuvuliwa nyadhifa za bungeni

Mambo yanazidi kumwendea kombo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe baada ya kuvuliwa rasmi cheo cha Naibu Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Iko siku nitashika nafasi kubwa Tanzania

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amesema kutimuliwa uanachama na Chadema ni dhoruba inayomkumba mwanasiasa yeyote anayefanikiwa na kwamba iko siku atashika “nafasi kubwa ya uongozi ya kuwatumikia Watanzania”.

 

11 years ago

GPL

UVCCM MABIBO WAMPONGEZA JK KUWAVUA NYADHIFA MAWAZIRI

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Na Bashir Nkoromo
UMOJA wa Vijana wa CCM, Kata ya Mabibo, Kinondoni jijini Dar es Salaam, umempongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwa kuwavua uongozi mawaziri wanne mwishoni mwa wiki. Mawaziri waliovuliwa uongozi kufuatia Rais Kikwete kutenguauUteuzi wao ni, Dk. Emmanuel Nchimbi (Waziri wa Mambo ya Ndani), Shamsi Vuai (Waziri wa Ulinzi), Mathayo David Mathayo (Mifugo na Maendeleo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani