Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti: Gonorrhoea kutotibika siku za usoni

0EBDC04700000514-3375525-Dame_Sally_Davies_has_reportedly_told_doctors_that_the_strain_fi-a-2_1451238104073

Gonorrhoea ipo kwenye hati hati ya kushindwa kutibika siku za usoni, kwa mujibu wa daktari mashuhuri wa nchini Uingereza.

0EBDC04700000514-3375525-Dame_Sally_Davies_has_reportedly_told_doctors_that_the_strain_fi-a-2_1451238104073
Dame Sally Davies

Kwa mujibu wa daktari huyo, Dame Sally Davies ugonjwa huo sasa hautibiki tena kwa antibiotic ya azithromycin ambapo ripoti za wagonjwa walioathirika zimeripotiwa huko Macclesfield, Oldham na Scunthorpe.

Amesema Gonorrhoea imeendelea kuwa king’ang’anizi kwa antibiotics nyingi mpya. Mwaka jana pekee watu 35,000 waliripotiwa kuugua ugonjwa huo nchini...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

JB:Namuona Wema Akishika Nyadhifa Kubwa Siku za Usoni

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram amempongeza na kumpa moyo staa mwenzake Wema Sepetu kwa kumtabilia makubwa siku za usoni baada ya staa huyo kukosa kura za kutosha kwenye kinyang’anyiro ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi.

JB  aliandika;

Watu wote masikio yao yalikuwa singida leo...kwa sababu moja tu....wema sepetu...mikoa mingine itapita wala watu hawatajua kama majina yametangazwa....mwanangu @wemasepetu. wewe ni wa...

 

10 years ago

GPL

KILAINI, NZIGIRWA, TWIMANNYE NITAUNGAMA NIKIWATAZAMA USONI

Baba Askofu Methodius Kilaini akitoa huduma kanisani. UKIHOJI dhambi za viongozi wa dini harakaharaka utaambiwa fuata mafundisho yao usifuate matendo. Hili ni kinyume na Mtume Paul aliyefundisha waumini wake kuwa wamfuate yeye kama alivyomfuata Yesu. Kwa kuwa dini ni muhimu kwenye kaya yangu sibishi sana katika hilo, lakini kuhusishwa kwenye fedha chafu kwa viongozi wa dini Askofu Methodius Kilaini, Euesebius Nzigirwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Anaendelea Vizuri Baada ya Kupigwa Chupa Usoni

Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anaendelea vizuri baada yakupigwa chupa na kijana mmoja usiku ya kuamkia jana wakiwa kwenye show ya mwanamziki Mabeste aliyoiandaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ajili ya matibabu ya Mkeo.

Leo kupitia ukurasa wake mtandaoni, kajala ameweka picha hiyo hapo juu  na kuandika  “Maisha yanaendelea au sio......” kuonyesha kuwa yupo poa na anaendelea na masiha yake yakawida.

Akilezea tukio hilo la kupigwa na chupa hapo jana alipofanya mahojiano na mtangazaji...

 

10 years ago

GPL

AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI, KISA MUME WA MTU!

NA WAANDISHI WETU MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu. Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu...

 

10 years ago

Habarileo

Ammwagia mumewe maji ya moto usoni, sehemu za siri

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda MKAZI wa Kitongoji cha Mfinzi kijiji cha Chala wilayani Nkasi, Zelena Kiozya (55) anadaiwa kumuua mumewe Evod Teola (62) kwa kummwagia maji ya moto mwilini mwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Young Stars, Prisons usoni kwa JKT Stars, Savio

JKT Stars na Savio, leo zinatarajiwa kuwa na kibarua kigumu katika Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Azam RBA zitakapocheza na timu chipukizi za DB Young Stars na Tz-Prisons kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani