Viongozi wa dini washahuriwa kuwapa muda waumini wao kuielewa Katiba Pendekezwa
![DSC04728](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC04728.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
StarTV02 Feb
Wazanzibari wahimizwa kuisoma, kuielewa katiba pendekezwa.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Wazanzibari wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kwa lengo la kujua umuhimu wake kabla ya kuipigia kura.
Vipengele vya Katiba hiyo vimeangalia namna ya kukomesha vitendo vya udhalilishaji vinavyoendelea kushika kasi bila ya kuwepo kwa sheria madhubuti ya kudhibiti uhalifu na wahalifu wa vitendo hivyo.
Waziri wa Ustawi wa Jamii, Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar akiwa katika mkutano wa hadhara mara baada ya kumaliza ziara kwa Katibu mkuu wa...
10 years ago
StarTV28 Dec
Watanzania waaswa kuisoma na kuielewa katiba pendekezwa.
Na Emmanuel Makuliga
Mwanza
Askofu wa jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi ameitahadharisha jamii kuwa haipaswi kutumia ushabiki, mkumbo, hasira wala upendeleo kuipigia kura ya ndiyo au hapana Katiba inayopendekezwa.
Kauli ya Askofu Ruwa’ichi inakuja zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Katiba hiyo kupigiwa kura na wananchi.
Wito huo umetolewa katika Ibada ya Misa Takatifu ya kutoa daraja la ushemasi kwa mafrateli watano wa Jimbo Kuu la Mwanza.
Askofu Ruwa’ichi anawasisitiza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8BSg_F8dfc/Xq7YB-cInwI/AAAAAAALo9E/SHhntzH-bMg42wifbuJyM1_VwDejaNLoQCLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli-1.jpg)
DK.MAGUFULI AWASHANGAA VIONGOZI WA DINI WANAOZUIA WAUMINI WAO KWENDA NYUMBA ZA IBADA, AWATAKA KUSIMAMA KATIKA VIAPO VYAO
RAIS Dk.John Magufuli amesema kutokana na uwepo wa ugonjwa Covid-19 kuna baadhi ya viongozi wa dini wamemsahau Mungu ambaye wamekuwa wakituhubiria waumini wao kwa siku zote.
Akizungumza leo Mei 3 mwaka 2020, Rais Magufuli amesema kuwa inashangaza unapoona viongozi wa dini wanamsahau Mungu kwasababu tu ya uwepo wa Corona."Licha ya kuapa kwa dini zao, wamemuacha Mungu na kwenda kubaki kujali ubinadamu.Ndio wamekuwa wakihamasisha kuwaambia wamumini acheni kwenda...
11 years ago
Habarileo11 Jul
'Viongozi wa dini acheni kugawa waumini'
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji, Dk Merry Nagu ameasa viongozi wa dini zote nchini, kutowagawa waumini wao kwa misingi ya vyama vyao.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Waumini wa dini chagueni viongozi bora -Madenge
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Mahmoud Madenge amesema uhuru na raha ya kuabudu vitaendelea kuwepo, endapo waumini wa dini mbalimbali watashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuchagua viongozi wanaoshughulikia matatizo ya wananchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZZHLdIxZVU/Xl-ZaFtXU_I/AAAAAAALg7U/RLOA6qgMG1M2oSzibtkFEwm9IEIQSq0FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B1.23.16%2BPM.jpeg)
Viongozi wa Dini waahidi kuwa mabalozi wa TCRA, kutoa elimu kwa waumini
KAMATI ya Amani mkoa wa Morogoro imesema kuwa elimu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano imefika kwa wakati mwafaka kutokana na teknolojia hiyo kukua kila siku.
Wameyasema hayo wakati wa Semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa Morogoro inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutoa elimu juu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano kwa kujinga na Uhalifu unapotumia huduma hizo.
TCRA ipo katika Kampeni ya SIRUBUNIKI kuwa Mjanja ambayo inakwenda katika mikoa yote ya Tanzania Bara na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MG4YE9j0SNM/XoMcEiVWRCI/AAAAAAALlqs/5z3rboA9Lscx2B7eXpvLzWdXzStCK52fQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0200-768x513.jpg)
VIONGOZI WA DINI RUKWA WAAZIMIA KUPUNGUZA MUDA WA IBADA KUJIHADHARI NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MG4YE9j0SNM/XoMcEiVWRCI/AAAAAAALlqs/5z3rboA9Lscx2B7eXpvLzWdXzStCK52fQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0200-768x513.jpg)
Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akitoa Elimu ya Ugonjwa wa Corona (Covid -19) Kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini (Hawapo pichani).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0221-1024x684.jpg)
Mchungaji Byanosisi Mwikole wa kanisa la Monravian akichangia mada katika kikao cha viongozi wa dini kilichoitishwa na mkuu wa mkoa wa Rukwa ili kupewa elimu juu ya namna ya kuepukana na Ugonjwa wa Corona (Covid -19)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0241-1024x684.jpg)
Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wakisikiliza kwa makini elimu wanayopatiwa juu ya namna ya...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Viongozi wa dini wasikitikia Katiba