Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE WAMETAKIWA KUPAMBANA NA MAJANGILI WA WANYAMA PORI




Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika maanadamano,katika siku ya Wanawake Duniani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakiadhimisha  siku ya wanawake duniani katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
………………………………………………………………NA FARIDA SAIDY MOROGORO.
Wakati dunia inaadhimisha siku ya mwanawake duniani wanawake nchini  wametakiwa kuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Usimamizi wa Wanyama Pori

Tazama mjadala kuhusu uwindaji haramu na mvutano baina ya binadamu na wanyama pori.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanyama watoweka pori la akiba la Selous

UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu na Wanyama pori wasombwa Georgia

Mafuriko makubwa yaliyoikumba mji mkuu wa Georgia, Tbilisi,yamesababisha maafa ya watu 8 pamoja na wanyama wa porini

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo za wanyama pori wenye kuchekesha kwa mwaka 2019

Picha zilizotunukiwa tuzo mwaka huu baada ya mashindano

 

11 years ago

Michuzi

DIRA YA DUNIA TV YAZUNGUMZA NA Mhe. RAIS JAKAYA KIKWETE KUHUSU WANYAMA PORI

Prince Charles na waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ni miongoni mwa wenyeji wa mkutano wa kimataifa mjini London, wenye lengo la kuzuia uwindaji wa wanyama waliohatarini kutoweka. Biashara hiyo yenye kuingiza takriban dola bilioni 19 kwa mwaka, imeenea kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya pembe za ndovu nchini China.  Zuhura Yunus wa BBC Swahili  amezungumza na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuhusu janga hilo katika kipindi cha Dira ya Dunia ya BBC TV juu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania watakiwa kupambana na majangili

Watanzania wametakiwa kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali kupambana na uwindaji haramu wa wanyama unaofanywa na majangili kwenye mbuga za wanyama.

 

11 years ago

Mwananchi

Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?

Tuna vita mikononi mwetu hivyo ni muhimu tutumie kila tulichonacho kupambana na kushinda vita hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani