Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala wa Usimamizi wa Wanyama Pori

Tazama mjadala kuhusu uwindaji haramu na mvutano baina ya binadamu na wanyama pori.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanyama watoweka pori la akiba la Selous

UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu na Wanyama pori wasombwa Georgia

Mafuriko makubwa yaliyoikumba mji mkuu wa Georgia, Tbilisi,yamesababisha maafa ya watu 8 pamoja na wanyama wa porini

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE WAMETAKIWA KUPAMBANA NA MAJANGILI WA WANYAMA PORI




Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika maanadamano,katika siku ya Wanawake Duniani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakiadhimisha  siku ya wanawake duniani katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
………………………………………………………………NA FARIDA SAIDY MOROGORO.
Wakati dunia inaadhimisha siku ya mwanawake duniani wanawake nchini  wametakiwa kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo za wanyama pori wenye kuchekesha kwa mwaka 2019

Picha zilizotunukiwa tuzo mwaka huu baada ya mashindano

 

11 years ago

Michuzi

DIRA YA DUNIA TV YAZUNGUMZA NA Mhe. RAIS JAKAYA KIKWETE KUHUSU WANYAMA PORI

Prince Charles na waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ni miongoni mwa wenyeji wa mkutano wa kimataifa mjini London, wenye lengo la kuzuia uwindaji wa wanyama waliohatarini kutoweka. Biashara hiyo yenye kuingiza takriban dola bilioni 19 kwa mwaka, imeenea kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya pembe za ndovu nchini China.  Zuhura Yunus wa BBC Swahili  amezungumza na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuhusu janga hilo katika kipindi cha Dira ya Dunia ya BBC TV juu ya...

 

11 years ago

GPL

CHID BENZ NA USTAA PORI

NI bwana mdogo, lakini ana mwili mkakamavu wenye kumuonyesha kama kijana mwenye ubavu. Ana sauti nzuri ya kukwaruza akiwa nyuma ya Mic, ambayo kwa mashabiki wa Hip Hop za Kimarekani, wanaweza kumlinganisha na rapa Ja Rule! Namzungumzia Rashid Makwiro, maarufu kama Chid Benz, mtoto wa Ilala Maflet, aliyeingia katika anga la Bongo Fleva miaka michache iliyopita na kuteka mashabiki wengi kutokana na uwezo wake mkubwa wa kurap....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wavamia Pori la Akiba la Selous

MOROGORO ni miongoni mwa mikoa iliyogubikwa na migogoro ya wakulima na wafugaji. Hali hiyo imesababisha mapigano ya mara kwa mara huku baadhi yao wakibaki na ulemavu na wengine kupoteza maisha....

 

11 years ago

Habarileo

Ujangili wasababisha Pori la Selous kugawanywa kanda 8

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduKATIKA kukabiliana na ujangili katika Pori la Akiba la Selous, Serikali imegawa pori hilo katika kanda nane ili zijitegemee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani