HIVI NI KWELI HAPA PAMESHINDIKANA??

Ni Miaka mingi sasa imepita huku shimo hilo la chemba likifanyiwa vibweka vya kuwekewa mavitu ya aina mbali mbali ikiwa ni ishara ya alama kwamba hapa kuna shimo.kiukweli shimo hili ni kero sana kwa watumiaji wa njia hiyo hasa ukizingatia lipo maeneo ya katikati ya jiji la Dar pembeni ya jengo refu la Benjamin Mkapa Tower na usoni kwa Makao Makuu ya Benki ya NMB.swali linakuja,hivi ni kweli kwamba hapa pameshindikana kufanyiwa kabisa kutafutiwa ufumbuzi yakinifu?
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …
Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]
The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
VijimamboMartin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

11 years ago
Mwananchi27 Mar
Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?
11 years ago
GPL
AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?
10 years ago
Vijimambo12 Feb
HAPA KUNA USALAMA BARABARANI KWELI?

10 years ago
Bongo Movies08 Mar
PICHA: Kweli Hakuna Mtu Mwembamba!!...Mcheki Hapa JB
Ule usemi wa kuwa hakuna mtu mwembamba umejidhuhilisha hapa kwa Staa huyu wa Bongo Movies, Jacob Stephen “ JB”.
Hapo juu ni picha za JB akiwa katika umri na wakati tofauti. Moja ya zamani na nyingine ya sasa.Asante sana Steve Nyerere kushare nasi picha hii.
Maisha haya...huyo ndio Bonge la bwanaaa!!
Mzee wa Ubuyu.
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.
Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...
11 years ago
Vijimambo14 Oct
VIINGILIO VYA SIMBA NA YANGA HIVI HAPA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...