Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NI KWELI HAPA PAMESHINDIKANA??

 Ni Miaka mingi sasa imepita huku shimo hilo la chemba likifanyiwa vibweka vya kuwekewa mavitu ya aina mbali mbali ikiwa ni ishara ya alama kwamba hapa kuna shimo.kiukweli shimo hili ni kero sana kwa watumiaji wa njia hiyo hasa ukizingatia lipo maeneo ya katikati ya jiji la Dar pembeni ya jengo refu la Benjamin Mkapa Tower na usoni kwa Makao Makuu ya Benki ya NMB.swali linakuja,hivi ni kweli kwamba hapa pameshindikana kufanyiwa kabisa kutafutiwa ufumbuzi yakinifu?

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Vijimambo

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..Picha hiyohapo niliyo screenshoot.

 

11 years ago

Mwananchi

Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?

Tuna vita mikononi mwetu hivyo ni muhimu tutumie kila tulichonacho kupambana na kushinda vita hiyo.

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?

NIMEWAHI kuzungumza mara kadhaa katika safu hii kuhusu huyu binti, mtoto wa nguli wa zamani wa soka Tanzania, Ezekiel Greyson ‘Jujuman’, aliyevuma sana akiwa na Simba. Anaitwa Aunt Ezekiel, staa wa filamu za Kibongo! Nilisema kuwa katika tasnia ya filamu, ni muigizaji mzuri kwa kupamba sinema kutokana na uzuri wa sura na umbo lake, lakini katika wasanii wanaotakiwa kwa weledi na viwango, bado ni mtu wa kati, ingawa...

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?

Kujikwaa siyo kuanguka, bado tunaweza kubadili mawazo kwa maslahi ya Taifa Zikiwa zimesalia siku 42 kufika tarehe 1 Machi 2015, tarehe ambayo kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo siku ambayo Asasi za Kiraia baada ya kupewa ruhusa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi zitaanza kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPA KUNA USALAMA BARABARANI KWELI?

Bongo ukiona foleni ni shida unaweza kufanya yako kama hivi lakini kama mfuko umenona.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Kweli Hakuna Mtu Mwembamba!!...Mcheki Hapa JB

Ule usemi  wa kuwa hakuna mtu mwembamba umejidhuhilisha hapa kwa Staa huyu  wa Bongo Movies, Jacob Stephen “ JB”.

Hapo juu ni picha za JB akiwa katika umri na wakati tofauti. Moja ya zamani na nyingine ya sasa.Asante sana Steve Nyerere kushare nasi picha hii.

Maisha haya...huyo ndio Bonge la bwanaaa!!

Mzee wa Ubuyu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana   mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha  ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa  sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.

Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...

 

11 years ago

Vijimambo

VIINGILIO VYA SIMBA NA YANGA HIVI HAPA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.

Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.

Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani