Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.
Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!
Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti huku wote sura zao zikiwa hazionekani.
Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
PICHA: Je ni Kweli Lulu Anamaanisha Hiki Kilichoandikwa Kwenye T-shirt Yake?
Mara kadhaa tumewaona baadhi ya ndungu zetu amabo Lugha ya malkia inawapiga chenga wamekuwa wakivaa ngue zenye maandisha ambayo mara nyingi huwa hawajui maana ya kile ambacho kimeandikwa.
Sote tunatambua kuwa watu wenye uelewa kama wa mrembo huyu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hawezi kuvaa ngue yenye maandishi akiwa ajui maana yake au hakubaliani na kile kilichoandikwa. Sasa je mtoto lulu ni kweli anamaanisha hiki kilichoandikwa hadi kupiga nacho picha na kutupia mtandaoni. Au labda ni dili...
10 years ago
Bongo Movies08 Mar
PICHA: Kweli Hakuna Mtu Mwembamba!!...Mcheki Hapa JB
Ule usemi wa kuwa hakuna mtu mwembamba umejidhuhilisha hapa kwa Staa huyu wa Bongo Movies, Jacob Stephen “ JB”.
Hapo juu ni picha za JB akiwa katika umri na wakati tofauti. Moja ya zamani na nyingine ya sasa.Asante sana Steve Nyerere kushare nasi picha hii.
Maisha haya...huyo ndio Bonge la bwanaaa!!
Mzee wa Ubuyu.
9 years ago
Bongo516 Aug
Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AGDdzx4sv_E/VcLotYpz5lI/AAAAAAAACQY/UNtNz_2CNqA/s72-c/kigwa.jpg)
KIGWANGWALA KAM-BEZA LOWASSA MTANDAONI, JIONEE HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGDdzx4sv_E/VcLotYpz5lI/AAAAAAAACQY/UNtNz_2CNqA/s640/kigwa.jpg)
August 5-2015 alitumia page yake ya twitter kuyatoa yake ya moyoni kwa kuandika sentensi kadhaa kuhusu CHADEMA na Edward Lowassa kwa kuandika >>> ‘Baada ya safari ya matumaini kufa nimeambiwa Edward Lowassa ameiba jina la safari ya mabadiliko toka kwa Kigwangalla‘
9 years ago
Bongo Movies22 Dec
Picha: Jionee Mafuriko, Diamond Akiwa Soko la Karume Mapema Leo
Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platimumz mapema leo alikuwa viwanja vya soko la karume jiji Dar akitambulisha show yake ya Darlive siku ya tarehe 25,ambapo pia aliimba kidogo na kugawa CD za wimbo wake mpya wa UTANIPENDA.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
![diamond231](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond231.jpg)
Diamond Akiwa Karume
![DIAMOND23412](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMOND23412.jpg)
Diamond Akiwa Karume
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Panda adanganya ana mimba