Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIGWANGWALA KAM-BEZA LOWASSA MTANDAONI, JIONEE HAPA


August 5-2015 alitumia page yake ya twitter kuyatoa yake ya moyoni kwa kuandika sentensi kadhaa kuhusu CHADEMA na Edward Lowassa kwa kuandika >>> ‘Baada ya safari ya matumaini kufa nimeambiwa Edward Lowassa ameiba jina la safari ya mabadiliko toka kwa Kigwangalla‘

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!

Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti  huku wote sura zao zikiwa hazionekani.

Moja kati ya akaunti  kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la  WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.

Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana   mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha  ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa  sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.

Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...

 

5 years ago

Michuzi

LIGI KUBWA KABISA ZIMEREJEA HAPA MERIDIANBET–MUENDELEZO WA KUSISIMUA WA MSIMU WA SOKA, SASA MTANDAONI!

Mpira umerejea tena, mechi zinaendelea hapa Meridianbet!

Sasa Unaweza kufurahia ligi kubwa zaidi za soka barani Ulaya na tumekuwekea Odds kubwa kwa ajili yako mtandaoni. 
Sherehe za soka zinaendelea kama kawaida na unaweza kubashiri mechi zilizosalia za msimu huu kwa namna nyingine. 
Mechi zipo katika mpangilio ule ule ambao mechi za kawaida zilipaswa kuchezwa, tarehe zile zile, siku zile zile za wiki ambazo unazijua na kuzipenda, ni kazi kwako kufurahia mchezo unaoupenda mtandaoni ukiwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KAM kujenga hospitali ya mafunzo

CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...

 

10 years ago

GPL

KIGWANGWALA MAJI, MADINI VIWANUFAISHE WANANCHI

Mheshimiwa Hamis Kigwangala. Nzega ni moja kati ya wilaya sita zinazounda Mkoa wa Tabora. Upande wa Kaskazini na Magharibi, Nzega inapakana na Mkoa wa Shinyanga na upande wa Kusini Magharibi, kuna Wilaya ya Uyui wakati upande wa Mashariki, inapakana na Wilaya ya Igunga, ikiwa na jumla ya wakazi 417,097 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Uwazi ilipata fursa ya kuwasiliana na wananchi wa wilaya hiyo ambayo pia ni...

 

9 years ago

Vijimambo

Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.

Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni 1.35($675millioni) kwa mwaka, Nipashe limebaini.

Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.

Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...

 

9 years ago

StarTV

Unajua alichokifanya Lowassa leo?Hiki hapa.

L1Mgombea urais anayewakilisha kambi ya Ukawa ameendelea na harakati zake za kukutana na wananchi wa kipato cha chini ambapo leo amefanya ziara ya kushitukiza katika soko la Tandale, jijini Dar es Salaam.

Lowassa ameingia katika soko la Tandale mapema leo asubuhi akiwa na mgombea mwenza, Juma Haji Duni ambapo amepokelewa kwa shangwe na wafanyabiashara ndogondogo katika soko hilo. Mbali na kuzungumza naokwa nia ya kufahamu matatizo yanayowakuta, Lowassa ameshiriki nao kupata kinywaji kwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa.

Makufuli akumbana na wakati mgumu mbeya ya zomea zomea nakuonyeshwa sign za Chadema na kuiba Kwa kelele Luwassa Luwassa . Sunday, September 27, 2015 Bonyeza vidio

The post Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa. appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani