Panda adanganya ana mimba
Panda mmoja jike aliamua kuwachezea shere wanaomhudumia kwa kuonesha dalili kua ana mimba apewe aina ya mikate ya buns zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Bibi,umri wa 65,ana mimba ya pacha wanne
10 years ago
GPLJACK DUSTAN ADAIWA ANA MIMBA YA MWARABU!
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Jacqueline Wolper Ana Mimba ya Miezi Mitatu?
Jacqueline Wolper ni mama kijacho? – Kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika Instagram wakati akiwapongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto wao wa kwanza, Latiffah.
“Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,” ameandika Wolper.
“Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera...
9 years ago
MichuziMKE WANGU ANA MIMBA YA MWANAUME MWINGINE, JE SHERIA INASEMAJE ?
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.
Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Wakati Nyalandu Anakanusha Kuhusika na Mimba ya Aunty Ezekiel, Iyobo Nae Ana Haya..…
Baada ya hapo jana Waziri Lazaro Nyalandu kupitia Clouds FM kukanusha tuhuma zilizokuwa zimezagaa kwenye magazeti na mitandaoni za kuwa anachepuka na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Aunty Ezekiel na kusisitiza kuwa yeye sio muhusika wa ujauzito wa mwigizaji huyo, nikaamua kupitapita kwenye kurasa za mcheza shoo wa Diamond, Moses Iyobo ambae ndio anasemekana kuwa yeye ndio amempa ujauziko mwigizaji huyo.
Kwanza nilikutana na andiko la malalamiko kutoka kwa Iyobo, ambae alikuwa ameweka...
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Nyepesi Nyepesi: Jack Dustan Adaiwa Ana Mimba ya Mwarabu!
Mwigizaji wa filamu ambaye ni zao la Shindano la Maisha Plus, Jack Dustan anadaiwa ni mjamzito huku mlengwa wa mzigo huo akidaiwa kuwa Mwarabu aliyewahi kuripotiwa kuwa anatoka naye.
Jack alitua hivi karibuni akitokea Dubai alikokuwa akiponda maisha na mara kadhaa amewahi kutundika picha mtandaoni akiwa kimahaba na mwanaume huyo wa Kiarabu.
Akizungumzia madai hayo, Jack alisema: “Mimi ni mwanamke bwana, kuzaa ni wajibu kwa hiyo sioni kama ni skendo mimi kuwa na mimba.”
Alipoulizwa kama ni...