Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPA KUNA USALAMA BARABARANI KWELI?

Bongo ukiona foleni ni shida unaweza kufanya yako kama hivi lakini kama mfuko umenona.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU‏

Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia) akisisitiza juu ya umuhimu wa wananchi kujikinga na ajali za barabarani kwenye msimu huu wa sikukuu leo wakati wa kikao na waandishi wa habari kilichofanyika makao makuu ya Airtel jijini Dar es salaam.  Katikati ni Katibu Mtendaji wa Baraza na Kamanda mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani cha Tanzania, DCP Mohammed Mpinga akifuatiwa na Balozi wa kampeni za...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.) (wa kwanza toka kushoto) akimweleza jambo Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Abigail Ambweni (wa tatu toka kushoto) wakati Baraza hili lilipotia saini makubaliano na kampuni hiyo kuendeleza ushirikiano katika kampeni za usalama barabarani ambazo Vodacom imekuwa ikidhamini tangu mwaka 2014. Akisikiliza pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo na Kamanda...

 

10 years ago

GPL

DUH, DUNIANI KWELI KUNA WAJINGA!

SIMCHEZO duniani kuna watu. Juzijuzi nilihadithiwa mkasa nikagundua kuwa binadamu tunapishana barabarani lakini akili zetu zipo tofauti. Jirani yangu juzi kaniambia alikwenda kwao, si unajua ndugu zetu wengine wakiona dili zinakataa wanarudi kwao kusafisha nyota, sasa alipokuwa huko kusafisha nyota alikutana na  mkasa ambao ni aibu kwa wote wanaotoka eneo lile. Sikutajii eneo hilo kutokana na aina yenyewe ya mkasa, nikitaja...

 

10 years ago

Habarileo

RC ahimiza elimu ya usalama barabarani

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe.MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe (pichani) amezishauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani na Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), zishirikiane kukitumia kipindi cha ubadilishaji wa namba za pikipiki kutoa elimu ya usalama barabarani.

 

5 years ago

CCM Blog

TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!

Usalama-2

1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.

2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;

3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wataka sheria za usalama barabarani kuzingatiwa

BAADHI ya washindi wa pikipiki kutoka promosheni ya Jishindie Bodaboda inayoendeshwa na Kampuni ya Vodacom wamehimiza umuhimu wa vyombo vinavyohusika na usalama barabarani kuchukua hatua za makusudi kuimarisha usalama ili...

 

10 years ago

Dewji Blog

FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani

DSC_0135

Naibu Kamishna wa Polisi  na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la  Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini Wiki ya Usalama Barabarani?

Tangu wiki iliyopita, nchi yetu imekuwa katika maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani. Wakati maadhimisho hayo yakifika ukingoni wiki hii, tunadhani ingekuwa vyema kila mwananchi akatafakari kwa kina nini amejifunza kutokana na maadhimisho hayo.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi: Kuna usalama Krismasi, mwaka mpya

JESHI la Polisi nchini na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejipanga kuhakikisha vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya vinadhibitiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani