Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DUH, DUNIANI KWELI KUNA WAJINGA!

SIMCHEZO duniani kuna watu. Juzijuzi nilihadithiwa mkasa nikagundua kuwa binadamu tunapishana barabarani lakini akili zetu zipo tofauti. Jirani yangu juzi kaniambia alikwenda kwao, si unajua ndugu zetu wengine wakiona dili zinakataa wanarudi kwao kusafisha nyota, sasa alipokuwa huko kusafisha nyota alikutana na  mkasa ambao ni aibu kwa wote wanaotoka eneo lile. Sikutajii eneo hilo kutokana na aina yenyewe ya mkasa, nikitaja...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAPA KUNA USALAMA BARABARANI KWELI?

Bongo ukiona foleni ni shida unaweza kufanya yako kama hivi lakini kama mfuko umenona.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kuna mfano wa Mandela duniani?

Nelson Mandela daima alitajwa kama 'kiongozi mkongwe wa dunia' ambaye alikuwa na ujuzi wa kutatua matatizo ya kidunia. Wapi mfano wa Mandela?

 

5 years ago

Michuzi

NI KWELI WATANZANIA KUNA CORONA... TUSIKILIZE MAELEKEZO YA VIONGOZI WA SERIKALI, WIZARA YA AFYA KUEPUKA KUENEA KWA MAAMBUKIZI

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

India , China zinaonyesha ushindani wa kweli kibiashara duniani

India hutajwa kuwa ni nchi yenye demokrasia kubwa kabisa duniani. Maana yake ni kwamba hakuna nchi yenye mfumo wa utawala wa kidemokrasia duniani ulio na wapigakura wengi kama ilivyo katika nchi hiyo.

 

5 years ago

CCM Blog

DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...

 

5 years ago

BBCSwahili

Atsede Nguse: Manusura wa shambulio la tindikali asema 'Kuna watu wengi wazuri duniani kuliko wabaya'

Mume wa Atsede Nguse alimshambulia kwa tindikali na kumharibu sura nchini Ethiopia, lakini wasamaria wema wamemsaidia kupona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania sio wajinga

HIVI karibuni ilitolewa ripoti  ya chapisho la tatu kwenye taarifa za  kidemografia, kijamii na kiuchumi  ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012. Ripoti hiyo ilieleza jinsi  maisha kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Madaktari wetu ni ''wajinga''

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amewashambulia madaktari wa timu yake kuwa ni 'wajinga'' kwa kumtibu Eden Hazard uwanjani Swansea ilipokuwa na mchezaji mmoja zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani