Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho:Madaktari wetu ni ''wajinga''

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amewashambulia madaktari wa timu yake kuwa ni 'wajinga'' kwa kumtibu Eden Hazard uwanjani Swansea ilipokuwa na mchezaji mmoja zaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania sio wajinga

HIVI karibuni ilitolewa ripoti  ya chapisho la tatu kwenye taarifa za  kidemografia, kijamii na kiuchumi  ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012. Ripoti hiyo ilieleza jinsi  maisha kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ole! CCM ‘wajinga’ wakierevuka …

ZIPO methali nyingi tulizoachiwa na wahenga (wazee wa zamani waliokuwa na busara na hekima). Laiti viongozi wetu wangetumia muda wakati wa mapumziko yao kudurusu methali za wahenga, hapana shaka wangejielewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu

HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...

 

10 years ago

GPL

DUH, DUNIANI KWELI KUNA WAJINGA!

SIMCHEZO duniani kuna watu. Juzijuzi nilihadithiwa mkasa nikagundua kuwa binadamu tunapishana barabarani lakini akili zetu zipo tofauti. Jirani yangu juzi kaniambia alikwenda kwao, si unajua ndugu zetu wengine wakiona dili zinakataa wanarudi kwao kusafisha nyota, sasa alipokuwa huko kusafisha nyota alikutana na  mkasa ambao ni aibu kwa wote wanaotoka eneo lile. Sikutajii eneo hilo kutokana na aina yenyewe ya mkasa, nikitaja...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya Albino; tumekuwa taifa la wajinga

KUNA andiko katika Biblia Takatifu lisemalo kuwa; watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hivi ndivyo jamii yetu inavyoangamia. Tunashindwa kufanyakazi na kujishughulisha ili kujikomboa kiuchumi lakini wapo baadhi ya wachache...

 

10 years ago

Dewji Blog

Siku Ya Wajinga (April Fool) Na Hukumu Yake Kishari’ah

 

april-fools-day-banner. poa

 

Habari wasomaji wa mtandao huu wa Modewji blog, munaoendelea kuperuzi, Leo ni Aprili Mosi, ambapo kila mwezi wa nne tarehe moja kama ya leo Duniani kote watu mbalimbali huifaanya siku hii kama ni ya kutaniana na kufanya jambo la mzaha ama ujinga ambalo ufanywa kuanzia tarehe inapoanza hadi saa nne asubuhi.

Hata hivyo siku hii ya wajinga kwa kipindi hiki imezidi kuwa na nguvu hasa baada ya kuongezeka mitandao ya kijamii ambayo watu mbalimbali wanaooitumia kutumia wasaha wa kuposti...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ya Leon Sullivan, uraia pacha na wajinga ndio waliwao

NAKUMBUKA, mwaka 2007 nchi yetu ilikuwa mwenyeji wa Mkutano wa nane wa Kimataifa ujulikanao kama

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani