Ole! CCM ‘wajinga’ wakierevuka …
ZIPO methali nyingi tulizoachiwa na wahenga (wazee wa zamani waliokuwa na busara na hekima). Laiti viongozi wetu wangetumia muda wakati wa mapumziko yao kudurusu methali za wahenga, hapana shaka wangejielewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Feb
JK:Ole wao wagombea CCM
SHABANI MATUTU, SONGEA na Oliver Oswald (Dar)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amewaonya watu wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Amesema endapo watavunja sheria na kanuni wasikilaumu chama hicho bali wajilaumu wenyewe.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Songea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 38 ya CCM yaliyohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.
Alisema anaamini CCM ni chama kinachofuata taratibu za kuwapata viongozi wake bora kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9WbSUHn4wiE/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hushKZw6ME8/Xl5-yEWaELI/AAAAAAACz_Q/TKA5Emz-qFIUgYYe4wJrYvJuZDqrCHCyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
MBUNGE WA JIMBO LA OLE ATIMKIA CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 564 KUMFUATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hushKZw6ME8/Xl5-yEWaELI/AAAAAAACz_Q/TKA5Emz-qFIUgYYe4wJrYvJuZDqrCHCyQCLcBGAsYHQ/s640/1.webp)
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mapinduzi-CCM, Mbunge huyo akiambatana na Wanachama wa CUF na ACT 564 amepokelewa na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SgS3LzAyaWA/Xl5_Ut_E9XI/AAAAAAACz_Y/97YxPlQIWysvnzUQ85YtFW5yI91k-UP5wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A2733AA-768x512.jpg)
MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s640/5R7A2733AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5R7A2801AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AnOhyfDOWG0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania sio wajinga
HIVI karibuni ilitolewa ripoti ya chapisho la tatu kwenye taarifa za kidemografia, kijamii na kiuchumi ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012. Ripoti hiyo ilieleza jinsi maisha kwa...
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Mourinho:Madaktari wetu ni ''wajinga''
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu
HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtFWck1-xXD5aH88hXt4bqpiCSjeKdrPOpnpdZ50IIY5uwGZHuNStYVz7dQV7sr0z5oKzEGVqVfFi5GcUzS6il*/CHEKANAKITIME.jpg)
DUH, DUNIANI KWELI KUNA WAJINGA!