Ya Leon Sullivan, uraia pacha na wajinga ndio waliwao
NAKUMBUKA, mwaka 2007 nchi yetu ilikuwa mwenyeji wa Mkutano wa nane wa Kimataifa ujulikanao kama
Joseph Mihangwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Aug
Uraia pacha wabezwa
SUALA la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa na uzalendo kupungua.
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Uraia pacha wakataliwa
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na mwandishi Wetu
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.
Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.
“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Uraia pacha waota mbawa
MATUMAINI ya Watanzania waishio nje ya nchi kupata uraia pacha yameota mbawa baada ya serikali kuweka bayana kuna athari kubwa za kiusalama. Licha ya sababu hiyo ya serikali kutotaka liwemo...
11 years ago
Habarileo13 Aug
Uraia pacha pasua kichwa
SUALA la uraia wa nchi mbili, linaonekana kupasua vichwa vya wanakamati hasa wanaotoka Zanzibar, kutokana na historia ya nchi hiyo.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Kizungumkuti cha uraia pacha
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I7Hrm9hj-fQ/U09o3OwIXhI/AAAAAAAFbb4/VSK88jOZR0s/s72-c/IMG_5590.jpg)
ALUTA KONYINYUA - Uraia Pacha na Uzalendo
![](http://2.bp.blogspot.com/-I7Hrm9hj-fQ/U09o3OwIXhI/AAAAAAAFbb4/VSK88jOZR0s/s1600/IMG_5590.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Sep
Uraia pacha bado ‘jiwe gumu’
URAIA pacha kwa Watanzania walioko nje ya nchi jana uliendelea kutawala katika mijadala kwenye Bunge la Katiba huku wengi waliochangia wakikubaliana wasio na uraia Katiba iruhusu wapewe chini ya utaratibu wa uraia wa pacha.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Bunge lilivyozika hoja ya uraia pacha