Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Operesheni hii ianze kwa kutaja wabunge majangili

>Serikali imetangaza rasmi kuanza upya kwa ‘Operesheni Tokomeza Majangili’, baada ya kuisitisha zaidi ya miezi mitatu iliyopita kutokana na operesheni hiyo kukumbwa  na matatizo ya utekelezaji, ambapo vilitokea vitendo vya ukatili na mateso na kuwaacha raia 13 na askari 6 wakiwa wamepoteza maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni hii ianze na wamachinga Kariakoo

KUMEKUWA na mipango mingi inayotangazwa na serikali ya kuwaondoa wafanyabiashara (wamachinga) katika maeneo ambayo si rasmi jijini Dar es Salaam lakini hakuna utekelezaji.   Kutokana na kauli hizo zinazotolewa na viongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imesahau kutaja majina ya majangili?

Wakati Serikali ilipotangaza kuanza rasmi kwa awamu ya pili ya ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’ mapema Februari, mwaka huu baada ya kusitishwa kwa miezi mitatu, wananchi wengi walipata matumaini kwamba operesheni hiyo ingeanza mara moja ili kudhibiti kasi kubwa ya mauaji ya tembo katika hifadhi za wanyama iliyokuwa ikiendelea. 

 

11 years ago

Mwananchi

Majina ya wabunge ‘majangili’ siri kubwa

Utata umeibuka kuhusu wabunge waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati ndogo ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuwa wanahusika na biashara ya pembe za ndovu.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka Operesheni Mifugo irudie

WABUNGE wa majimbo ya Morogoro, wameiomba Serikali ya Mkoa kurudia Operesheni ya kuondoa Mifugo katika maeneo mbalimbali na Hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero baada ya kurejea kwa mifugo hali inayosababisha uharibifu wa mazingira.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Operesheni Delete’ wabunge waliotetea Escrow bungeni yaiva

DHAMBI ya uchotaji mabilioni ya pesa katika akaunti ya Tegeta Escrow  bado inaendelea kuwatafuna wanasiasa nchini. wakati umma wa Watanzania ukisubiri hukumu ya mwisho itakayotolewa na Rais  Jakaya Kikwete dhidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga! Kwa nini mpaka Simba ianze?

NI Jumatatu nyingine tulivu kabisa ya mwezi Juni, ulio katikati ya mwaka, mwezi unaoelemewa na baridi karibu sehemu kubwa ya nchi yetu. Ni kati ya miezi ambayo michuano ya Kombe...

 

10 years ago

Bongo5

Adam Juma ampongeza Izzo Bizness kwa kutaja gharama halisi aliyotumia kwenye video ya ‘Walala hoi’, M 1.4

Director Adam Juma wa kampuni ya Visual lab/Next Level, amempongeza rapper wa Mbeya Izzo Bizness na director wake Nick Dizzo kwa kutaja gharama halisi waliyotumia kushoot video ya ‘Walala hoi’ ambayo Izzo amesema ni shilingi milioni 1 na laki 4 tu. “Video ni milioni 1 na laki 4 na Nick hapo tumemlipa kila kitu” Izzo […]

 

11 years ago

Mwananchi

Sh1.5 milioni kwa atakayefichua majangili

Katika kuhakikisha majangili wananaswa, Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza dau la Sh500,000 hadi Sh1.5 milioni kwa yeyote atakayetoa taarifa zinazofanikisha kukamatwa kwa majangili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani