Sh1.5 milioni kwa atakayefichua majangili
Katika kuhakikisha majangili wananaswa, Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza dau la Sh500,000 hadi Sh1.5 milioni kwa yeyote atakayetoa taarifa zinazofanikisha kukamatwa kwa majangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 May
Kugombea urais Chadema Sh1 milioni
Dar es Salaam. Mwanachama atakayetaka kuwania urais kwa tiketi ya Chadema atatakiwa kulipia Sh1,000,000 za fomu, ambazo atarejeshewa iwapo hatapitishwa kuwa mgombea pekee wa vyama vinavyoundwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), chama hicho cha upinzani kilisema jana.
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Operesheni hii ianze kwa kutaja wabunge majangili
>Serikali imetangaza rasmi kuanza upya kwa ‘Operesheni Tokomeza Majangili’, baada ya kuisitisha zaidi ya miezi mitatu iliyopita kutokana na operesheni hiyo kukumbwa na matatizo ya utekelezaji, ambapo vilitokea vitendo vya ukatili na mateso na kuwaacha raia 13 na askari 6 wakiwa wamepoteza maisha.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z9Uu1Xln-jQ/Ve2krjgzCBI/AAAAAAAAKrw/E78KDXqYvvQ/s72-c/mafuriko%2Bhadi%2Bikulu.jpg)
Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili
![](http://4.bp.blogspot.com/-z9Uu1Xln-jQ/Ve2krjgzCBI/AAAAAAAAKrw/E78KDXqYvvQ/s640/mafuriko%2Bhadi%2Bikulu.jpg)
Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni
Kampuni ya Mtandao wa Jamii ya Facebook imesema itanunua mtandao wa mawasiliano wa ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa Dola 19 bilioni za Marekani (Sh1.36 trilioni), ili kuimarisha umaarufu wake hasa miongoni mwa vijana.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
Watuhumiwa sita katika kashfa ya upotevu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni kati ya Sh1.5 bilioni zilizotolewa na Wizara ya Chakula, Kilimo na Ushirika kwa ajili ya usambazaji wa pembejeo za kilimo wilayani hapa juzi walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mtumishi NMB kortini kwa wizi wa Sh1 bilioni
Mtumishi wa Benki ya NMB, Mtoro Suleiman na wenzake wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh1 bilioni na kutakatisha fedha haramu.
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
 Mbunge Filikunjombe akilitazama daraja la mbao la mto Kitewaka ambalo litajengwa kisasaÂ
 Wannchi wa kijiji cha Maholong'wa wakimpongeza mbunge Filikunjombe kwa kutimiza ahadi yake…
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania