Wananchi waachwe wajadili hotuba ya Rais
Katika toleo la gazeti hili jana tulichapisha habari iliyomkariri Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu akisema kwamba kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge Maalumu la Katiba mwishoni mwa wiki, ni kupoteza muda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Nov
Jukwaa la Wazalendo lawahimiza wananchi kuiunga mkono Hotuba Ya Rais
Jukwaa huru la Wazalendo limetangaza kuunga mkonon hotuba ya Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli aliyoitoa Novemba 19 katika ufunguzi wa Bunge la kumi na moja Mjini Dodoma.
Katika ufunguzi wa Bunge hilo Rais Magufuli ,alitangaza mpango mkakati wa Serikali wa kubana matumizi ikiwemo kupunguza safari za nje ya nchi za maofisa wa Serikali pamoja na kuondoa matumizi ya fedha yasiyo yalazima.
Hotuba ya Kwanza Rais Magufuli kuitoa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/wzjWafeZuZU/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Hotuba ya Rais Kikwete kwa wananchi akikamilisha ziara mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Majumuisho Dodoma Na Hotuba Ya Mwisho Wa Mwezi Agosti, 2014 Dodoma – Final by moblog
11 years ago
Michuzi01 Aug
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’
VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...
10 years ago
Vijimambo09 Jul
SAUTI YA HOTUBA YA MO AKIAGA WANANCHI WA SINGIDA MJINI
![IMG_7558](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7558.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Watanzania waachwe waamue aina ya Muungano wanaoutaka
LEO ni Sikukuu ya Muungano ambapo Watanzania tunaadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Licha ya kasoro na matatizo tuliyopitia ndani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2O2qiS8lFY7QE0bBqZJ6mHiP0K5X2skD89iJsqVlbXmtn5QF02qSiZqfm82s7OV8mW*af-TpYy8LNTxsHTOC6DD/IKULU.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE, TUCTA WAJADILI JINSI YA KUBORESHA MASLAHI NA USTAWI WA WAFANYAKAZI