Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi waachwe wajadili hotuba ya Rais

Katika toleo la gazeti hili jana tulichapisha habari iliyomkariri Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu akisema kwamba kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge Maalumu la Katiba mwishoni mwa wiki, ni kupoteza muda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Jukwaa la Wazalendo lawahimiza wananchi kuiunga mkono Hotuba Ya Rais

Jukwaa huru la Wazalendo limetangaza kuunga mkonon hotuba ya Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli aliyoitoa Novemba 19 katika ufunguzi wa Bunge la kumi na moja Mjini Dodoma.

Katika ufunguzi wa Bunge hilo Rais Magufuli ,alitangaza mpango mkakati wa Serikali wa kubana matumizi ikiwemo kupunguza safari za nje ya nchi za maofisa wa Serikali pamoja na kuondoa matumizi ya fedha yasiyo yalazima.

Hotuba ya Kwanza Rais Magufuli kuitoa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hotuba ya Rais Kikwete kwa wananchi akikamilisha ziara mkoani Dodoma

kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Majumuisho Dodoma Na Hotuba Ya Mwisho Wa Mwezi Agosti, 2014 Dodoma – Final by moblog

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’

VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...

 

10 years ago

Vijimambo

SAUTI YA HOTUBA YA MO AKIAGA WANANCHI WA SINGIDA MJINI


IMG_7558Pia nimeiweka hapa unaweza kusikiza jinsi wananchi wakisema hawataki aachie ngazi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania waachwe waamue aina ya Muungano wanaoutaka

LEO ni Sikukuu ya Muungano ambapo Watanzania tunaadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo kuunda Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania. Licha ya kasoro na matatizo tuliyopitia ndani...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE, TUCTA WAJADILI JINSI YA KUBORESHA MASLAHI NA USTAWI WA WAFANYAKAZI

-Aagiza kukamilishwa kwa uundwaji wa mabaraza ya wafanyakazi katika utumishi wa umma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete juzi, Alhamisi, Aprili 17, 2014, alifanya mazungumzo na majadiliano ya kina na viongozi wa vyama vyote vya wafanyakazi nchini yenye nia ya kutafuta njia za kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi nchini. Mazungumzo hayo ya muda mrefu yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani