Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAUTI YA HOTUBA YA MO AKIAGA WANANCHI WA SINGIDA MJINI


IMG_7558Pia nimeiweka hapa unaweza kusikiza jinsi wananchi wakisema hawataki aachie ngazi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani), alipokuwa akielekea mkoani Singida mara baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara wa kampeni.
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.  Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimshukuru kiongozi huyo wa dini kwa kujitolea kumuombea Dua ya heri na afya njema katika nafasi yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjasiriamali maarufu Singida, Juma Kidabu, akuchukua fomu kugombea jimbo la Singida mjini

DSC00484

Mjasiriamali maarufu manispaa ya Singida, Juma Ahmed Kidabu, almaarufu kwa jina la Juma Alhaj, akikabidhiwa na Katibu wa CCM jimbo la Singida mjini, Margeth Ndwete, fomu za ubunge katika jimbo hilo.Wana CCM wapatao nane jana wameanza harakati za kusaka kura za maoni.(Picha na Nathaniel Limu).

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani),alipokuwa akielekea mkoani Singida mara baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara wa kampeni Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimshukuru kiongozi huyo wa dini kwa kujitolea kumuombea Dua ya heri na afya njema katika nafasi yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya ...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Singida mjini (Kwenye Mataa) mara baada ya kuwasili wakati akitokea Nzega Mkoani Tabora. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli

DSCN5521

Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.

DSCN5520

Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Camera ya MOblog yamulika wakazi wa mji wa Singida wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA

DSC00750

Baadhi ya wakazi wa mji wa Singida ,wakifuatilia kwa makini hutoba ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe, wakati akihutubia Watanzania kupitia kituo cha televisheni cha ITV jana kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho cha upinzani.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC00753

 

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi waachwe wajadili hotuba ya Rais

Katika toleo la gazeti hili jana tulichapisha habari iliyomkariri Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu akisema kwamba kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge Maalumu la Katiba mwishoni mwa wiki, ni kupoteza muda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani