Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wahofia umiliki wa gesi

SHIRIKA la Twaweza limeeleza kuwa Watanzania wengi wana wasiwasi na serikali pamoja na matajiri katika kunufaika na upatikanaji wa mafuta na gesi nchini. Kwamba wananchi wamekuwa na imani kuwa gesi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wananchi Njombe wahofia kukosa kuandikishwa

Wananchi mkoani Njombe, wameanza kuwa na wasiwasi huenda wakashindwa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kutokana na kazi hiyo kufanyika taratibu kwa sababu ya uchache wa mashine za kuandikishia na kasi ndogo ya maofisa uandikishaji.

 

5 years ago

BBCSwahili

Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki

Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA KIJIJI CHA MPONDE WARUDISHIWA UMILIKI WA KIWANDA CHA CHAI



Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Tanga Aisha Kigoda mara baada ya kuwasili mkoani Tanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Tanga Mjini Omary Nundu wakati wa mapokezi yaliofanyika Segera kijiji cha Mchungwani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Mchungwani kata ya Segera waliojitokeza kumpokea akiwa njiani kuelekea Mponde jimbo la Bumbuli.
 Gari iliyombeba Katibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Miradi ya madini, gesi inavyotesa wananchi

Shughuli za uchimbaji madini na uwekaji wa bomba la kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimekuwa na mchango mkubwa katika kuathiri mazingira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’

VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugunduzi wa gesi uwe tija kwa wananchi

WAKATI nishati ya gesi ikiendelea kupanda bei, hali hiyo imeendelea kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kushindwa kumudu gharama za gesi ya kupikia. Baada ya gharama...

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu

Utafiti mpya umeonyesha kuwa asilimia 80 ya wananchi wanataka mapato yatakayopatikana kwenye mauzo ya gesi asilia yatumike kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani