Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi Njombe wahofia kukosa kuandikishwa

Wananchi mkoani Njombe, wameanza kuwa na wasiwasi huenda wakashindwa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kutokana na kazi hiyo kufanyika taratibu kwa sababu ya uchache wa mashine za kuandikishia na kasi ndogo ya maofisa uandikishaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kigoma, Rukwa wahofia wakimbizi kuandikishwa


WABUNGE wa mikoa ya Kigoma na Rukwa wameiomba serikali kuhakikisha wanadhibiti upigaji kura na uandikiswaji katika daftari la wapigakura watu wasio raia wa Tanzania walioko kwenye maeneo ya mipakani.
Kauli hiyo, ilitolewa, bungeni mjini hapa na wabunge, Josephine Genzabuke (Viti Maalum-CCM) na Ally Keisy, (Nkasi Kaskazini-CCM).
Akiuliza swali la nyongeza Gezabuke, alitaka kujua serikali imejiandaa vipi kuchukua hatua mahususi juu ya watu watakaotambuliwa kuwa  wakimbizi wakiwa wamejiandikisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahofia umiliki wa gesi

SHIRIKA la Twaweza limeeleza kuwa Watanzania wengi wana wasiwasi na serikali pamoja na matajiri katika kunufaika na upatikanaji wa mafuta na gesi nchini. Kwamba wananchi wamekuwa na imani kuwa gesi...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi wapambana na wananchi Njombe

Na Francis Godwin, Njombe

JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia zaidi ya saa 5.00 kupambana na wananchi waliokuwa wakiandamana bila kibali wakitaka kuchukua maiti ya mmoja wa wakazi wa Njombe aliyedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi hilo wakati wa msako wa wanywa pombe.

Mtu huyo inaelezwa alifariki dunia juzi na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Kibena.
Inaelezwa wananchi hao walikuwa wakiandamana kuuchukua mwili wa marehemu huyo na kuupeleka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi wa mkoa wa Njombe ni mfano wa kuigwa katika zoezi la BVR

Kazi ya kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometrick Voters Registration (BVR), ambao huhusisha uchukuaji wa alama za vidole na picha, jana iliingia siku ya tatu, huku baadhi yao wakipongeza utendaji wake.

DSC_0034

DSC_0050

Kwa mujibu wa ripoti iliyokusanywa na mwandishi wetu inasema kuwa tokea siku ya kwanza lilipoanza zoezi hilo lilionyesha matumaini maana wananchi wetu walijitokeza kwa wingi.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi katika vituo vya...

 

5 years ago

StarTV

Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC

  Na, Ahmed Makongo, Bunda; WANANCHI wa kitongoji cha Mashine ya Maji katika kata ya Bunda stoo, mjini Bunda mkoani Mara, jana wamepiga yowe na kuanadamana kwa kukusanyika pamoja katika kituo cha Mashine ya kusukuma maji, iliyoko katika eneo la Migungani, mjini humo, kutokana na kituo hicho kufungwa na kusababisha kukosa huduma ya maji, kwa …

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapiga kura kuandikishwa upya

KILIO cha muda mrefu cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutaka Daftari la Kudumu la Wapiga Kura liboreshwe kimepata jibu baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuamua...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.

Mgombea Ubunge wa jimbo...

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi walilia kuandikishwa kupiga kura

NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MTANDAO wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) umeipa siku saba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutoa ufumbuzi wa namna watakavyoandikishwa katika daftari la kudumu la kupigia kura kupitia mfumo wa BVR, kwa kuwa kuna mwingiliano na ratiba za masomo.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Kaimu Mwenyekiti wa TSNP, Shitindi Venance, alisema wanaiomba NEC ieleze jinsi gani wanafunzi walioko vyuoni na wale walioko sekondari za bweni ambao wana sifa za kupiga kura...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani