Kigoma, Rukwa wahofia wakimbizi kuandikishwa
WABUNGE wa mikoa ya Kigoma na Rukwa wameiomba serikali kuhakikisha wanadhibiti upigaji kura na uandikiswaji katika daftari la wapigakura watu wasio raia wa Tanzania walioko kwenye maeneo ya mipakani.
Kauli hiyo, ilitolewa, bungeni mjini hapa na wabunge, Josephine Genzabuke (Viti Maalum-CCM) na Ally Keisy, (Nkasi Kaskazini-CCM).
Akiuliza swali la nyongeza Gezabuke, alitaka kujua serikali imejiandaa vipi kuchukua hatua mahususi juu ya watu watakaotambuliwa kuwa wakimbizi wakiwa wamejiandikisha...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Wananchi Njombe wahofia kukosa kuandikishwa
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wakimbizi saba wa Burundi wafa Kigoma
10 years ago
Mwananchi25 May
Wakimbizi wanavyoishi ‘roho mkononi’ Kigoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmUWJXtjCiHNS0SwzfmEWAhTCmjwTUZdeosMIvqWzWU0dcxGwjppZPkgYGkbWwRaOGTZXVBx6An2TNVBt*T3SXx/150507214029_burundian_refugee_kigoma_640x360_bbc_nocredit.jpg)
WAKIMBIZI SABA WA BURUNDI WAFARIKI DUNIA KAMBI ZA KIGOMA
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya
Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda.
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya kwanza ya ziara yake katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji hiyo.
Kwa mujibu wa Taarifa ya Tume hiyo iliyotolewa leo, Jumatano (Septemba 10, 2014) na Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda, ziara hiyo itaanza tarehe 17 mwezi huu na kumalizika tarehe 6 mwezi ujao.
Kwa mujibu...