WAKIMBIZI SABA WA BURUNDI WAFARIKI DUNIA KAMBI ZA KIGOMA
![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmUWJXtjCiHNS0SwzfmEWAhTCmjwTUZdeosMIvqWzWU0dcxGwjppZPkgYGkbWwRaOGTZXVBx6An2TNVBt*T3SXx/150507214029_burundian_refugee_kigoma_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Wakimbizi wa Burundi. ...wakiwa kambini. Raia saba wa Burundi wamefariki dunia wakiwa nchini Tanzania kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa kuhara miongoni mwa wakimbizi wa Burundi waliofika hivi karibuni nchini humo. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi UNHCR, kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania linachukua hatua za dharura kudhibiti mlipuko huo. Katika taarifa iliyotolewa Jumapili, UNHCR imesema kuwa wakimbizi…...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wakimbizi saba wa Burundi wafa Kigoma
10 years ago
Mwananchi21 May
Wakimbizi 40 wa Burundi wafariki dunia
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Wakimbizi kutoka Burundi waendelea kuwasili kambi ya Nyarugusu, Kasulu Kigoma
Mkimbizi kutoka Burundi, Philipo Nyandungulu, akishuka kutoka kwenye basi baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko Kasulu mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi imekuwa ikiongezeka siku hadi siku na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHRC) imekuwa ikiwahifadhi kwa muda katika kambi hiyo.
Baadhi ya wakimbizi kutoka nchini Burundi, wanaohifadhiwa katika...
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WAENDELEA KUWASILI KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWASAJILI WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ,WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU