Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugunduzi wa gesi uwe tija kwa wananchi

WAKATI nishati ya gesi ikiendelea kupanda bei, hali hiyo imeendelea kuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kushindwa kumudu gharama za gesi ya kupikia. Baada ya gharama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway

Soko kubwa la mafuta na gesi asilia katika bara la Ulaya inaelezwa kuwa limetekwa na Norway. Shirika la ‘The U.S Energy Information Administration (EIA) linaitaja Norway kama taifa la tatu katika ushindani wa soko la gesi na mafuta duniani, ikitanguliwa na Urusi na Qatar.

 

9 years ago

Mwananchi

Usajili wa wachezaji uwe wenye kuleta tija

Dirisha la usajili wa wachezaji kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara na ile ya Daraja la Kwanza limefunguliwa rasmi jana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Michuzi

Statoil yafanya ugunduzi wa nane wa gesi asilia katika Bahari Kuu ya Tanzania

Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMASerikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetangaza ugunduzi wa gesi asilia katika Miamba ya Mchanga kwenye kisima kinachochimbwa na Statoil cha Mdalasini-1 kwenye bahari kuu ya Tanzania.
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene amebainisha hayo kwenye mkutano na Waandishi wa Habari mjini Dodoma. Baada ya kuthibitishwa na Makamu wa Rais wa Statoil, Nick Maden pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
“ugunduzi huo wa gesi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mradi wa gesi majumbani uwe endelevu

Tangu ilipogundulika hazina kubwa ya gesi nchini miaka michache iliyopita, kumekuwapo na kauli nyingi kuhusu manufaa ambayo wananchi mmoja mmoja au nchi wataweza kupata kutokana na rasilimali hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....

 

11 years ago

Michuzi

UNHWA YA KOREA KUSINI KUISAIDIA NIMR KATIKA UGUNDUZI WA DAWA KWA KUTUMIA MIMEA

 Na Father Kidevu Blog, Dar es Salaam Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Tanzania (NIMR), imesaini mkataba wa ushirikiano na kampuni ya UNHWA ya Jamhuri ya Korea ambapo kampuni hiyo itaisaidia NIMR teknolojia mpya ya kufanya ugunduzi wa dawa za binadamu kwa kutumia mimea.
Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es salaam pembezoni mwa kongamano la 28 la kisayansi la NIMR, ambapo mkurugenzi mkuu wa taasisi hiyo Dk. Mwele Malecela amesema hatua hiyo ni muhimu katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahofia umiliki wa gesi

SHIRIKA la Twaweza limeeleza kuwa Watanzania wengi wana wasiwasi na serikali pamoja na matajiri katika kunufaika na upatikanaji wa mafuta na gesi nchini. Kwamba wananchi wamekuwa na imani kuwa gesi...

 

10 years ago

Mwananchi

Miradi ya madini, gesi inavyotesa wananchi

Shughuli za uchimbaji madini na uwekaji wa bomba la kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimekuwa na mchango mkubwa katika kuathiri mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani