UNHWA YA KOREA KUSINI KUISAIDIA NIMR KATIKA UGUNDUZI WA DAWA KWA KUTUMIA MIMEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3powe9rpe0/U1kc994XeKI/AAAAAAAATPY/0cJnPG9kRUc/s72-c/1.jpg)
Na Father Kidevu Blog, Dar es Salaam
Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Tanzania (NIMR), imesaini mkataba wa ushirikiano na kampuni ya UNHWA ya Jamhuri ya Korea ambapo kampuni hiyo itaisaidia NIMR teknolojia mpya ya kufanya ugunduzi wa dawa za binadamu kwa kutumia mimea.
Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es salaam pembezoni mwa kongamano la 28 la kisayansi la NIMR, ambapo mkurugenzi mkuu wa taasisi hiyo Dk. Mwele Malecela amesema hatua hiyo ni muhimu katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
11 years ago
Habarileo25 Apr
NIMR kutengeneza dawa kwa teknolojia ya chembehai
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema inatarajia kuanza kutengeneza dawa za binadamu zitokanazo na mimea kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kutumia chembe hai ya mimea bila kukata mti husika.
5 years ago
MichuziKITUO CHA UTAFITI WA KILIMO-SAT WATOA MBINU YA KUKABILIANA NA VIWAVIJESHI KWA KUTUMIA MIMEA
Meneja wa Kituo cha Utafiti wa kilimo ambacho kinamilikiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) Frank Marwa akielezea hatua nne za ukuaji wa viwavijeshi ambaye ni moja ya wadudu waharibifu wa mazao shambani.
Frank Marwa ambaye ni Meneja wa Kituo cha utafiti wa kilimo akiwa ameshika jani la mpapai ambalo nalo hutumika kuua wadudu wa haribifu wa...
10 years ago
VijimamboUNODC KUISAIDIA ZANZIBAR KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA KWA JAMII
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) limesema litafanya tathmini ya kina kupata njia muafaka za kuisaidia Zanzibar kukabiliana na biashara, matumizi na athari za dawa za kulevya kwa jamii.
Hayo yamesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
DAWA iliyofanyiwa kazi na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya corona.
Dawa hiyo iliyopewa jina la NIMRCAF (pichani), inatokana na mchanganyiko wa vyakula; na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona.
Akielezea mchanganyiko huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Tiba Asili cha NIMR, Dk Justine Omolo alisema ni fomula ya tiba lishe, ambayo ina mchanganyiko wa...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Tanzania na Korea ya Kusini zabadilishana uzoefu katika kuimarisha uwekezaji
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda akifungua kongamano kongamano la siku moja lililofanyika leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya uwekezaji kati ya Tanzania na Korea ya Kusini ili kubadilishana uzoefu na kushirikiana katika kuinua uchumi wa nchi zote mbili kwa kushirikisha sekta ya Umma na sekta binafsi katika kujiletea maendeleo endelevu.
Baadhi ya wajummbe kutoka nchini Korea ya Kusini wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda (hayupo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KPQa9Qm_bCw/VTfp0Q5RmfI/AAAAAAAHSoo/UIQrwNWHOaQ/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Serikali ya Tanzania na Korea ya Kusini zakubadilishana uzoefu katika masuala ya uwekezaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPQa9Qm_bCw/VTfp0Q5RmfI/AAAAAAAHSoo/UIQrwNWHOaQ/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-av2p5PepJls/VTfp0Q5axvI/AAAAAAAHSow/K0UKb8xejKc/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s72-c/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fkAh1RQHfjY/XvbGBYiop8I/AAAAAAALvoM/48NaOxSejQAF3K3Vy7fEJj1HrfXWcnkIQCLcBGAsYHQ/s640/photo%2B1%2B%25281%2529.jpg)
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani