Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
DAWA iliyofanyiwa kazi na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya corona.
Dawa hiyo iliyopewa jina la NIMRCAF (pichani), inatokana na mchanganyiko wa vyakula; na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona.
Akielezea mchanganyiko huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Tiba Asili cha NIMR, Dk Justine Omolo alisema ni fomula ya tiba lishe, ambayo ina mchanganyiko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
DAWA YA NIMR TANZANIA YATOA MWANGA WA KUPONYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s400/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
DAWA iliyofanyiwa kazi na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya corona.
Dawa hiyo iliyopewa jina la NIMRCAF (pichani), inatokana na mchanganyiko wa vyakula; na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona.
Akielezea mchanganyiko huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Tiba Asili cha NIMR, Dk Justine Omolo alisema ni fomula ya tiba lishe, ambayo ina mchanganyiko wa...
9 years ago
MichuziHALFA YA KUFUNGA KONGAMANO LA 29 LA SAYANSI LILILOANDALIWA NA TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU.
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la 28 la mwaka la Wanasayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR). Kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, limeandaliwa na Taasisi hiyo ya (NIMR). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua pazia kuashiria kuzindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04hiM0YNvLQ/XrP1Dqg04XI/AAAAAAALpYY/TbVKZKQ01f4Lp10PxosJKrZxhGm37hUFACLcBGAsYHQ/s72-c/7292aaac-b68b-4f44-98cf-99803afe8dd5.jpg)
Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
TAASISI YA DK MSUYA YAGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH MILIONI 2.5 KWA MAKANISA MWANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AL4TEt2tTy4/XrhLP1Tn8xI/AAAAAAALpsc/a6PeAVMdhHUce9zXf3zA0mnCnxPJ2OYDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.03.25%2BPM.jpeg)
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Hdroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo' kwa wagonjwa wa Covid, utafiti unasema
9 years ago
MichuziBOHARI YA DAWA (MSD) YASHIRIKI KONGAMANO LA 29 LA WANASAYANSI WATAFITI MAGONJWA YA BINADAMU