Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania na Korea ya Kusini zabadilishana uzoefu katika kuimarisha uwekezaji

.01.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda akifungua kongamano kongamano la siku moja lililofanyika leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya uwekezaji kati ya Tanzania na Korea ya Kusini ili kubadilishana uzoefu na kushirikiana katika kuinua uchumi wa nchi zote mbili kwa kushirikisha sekta ya Umma na sekta binafsi katika kujiletea maendeleo endelevu.

02

Baadhi ya wajummbe kutoka nchini Korea ya Kusini wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda (hayupo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali ya Tanzania na Korea ya Kusini zakubadilishana uzoefu katika masuala ya uwekezaji

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda akifungua kongamano kongamano la siku moja lililofanyika leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya uwekezaji kati ya Tanzania na Korea ya Kusini ili kubadilishana uzoefu na kushirikiana katika kuinua uchumi wa nchi zote mbili kwa kushirikisha sekta ya Umma na sekta binafsi katika kujiletea maendeleo endelevu.Baadhi ya wajummbe kutoka nchini Korea ya Kusini wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Prof. Adolf Mkenda (hayupo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha mamlaka za uwekezaji

UHUSIANO wa kibiashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Afrika Kusini unazidi kuimarika baada ya nchi hizo kufikia makubaliano ya kuunda vikosi kazi katika nchi hizo ili kuimarisha mamlaka za...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha kanda maalum za uwekezaji

TANZANIA na Afrika Kusini zimeingia makubaliano ya kuunda vikosi kazi kuimarisha mamlaka za ukanda maalumu za uwekezaji katika nchi hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya ujumbe wa maofisa kutoka Serikali ya Afrika Kusini kutembelea Mamlaka ya Ukanda Maalum ya Uwekezaji (EPZA) jana jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akihutubia katika ufunguzi rasmi wa Semina ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Norway iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency ya Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Norway, Mhe. Monica Maeland, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa Norway nchini, Mhe. Hanna-Marie Kaarstad na wadau...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania na Jamhuri ya Korea kuimarisha ushirikiano

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki akizungumza wakati wa mkutano kati yake na Mkurugenzi anayeshughulikia masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati kutoka Jamhuri ya Korea Bw. KWON Hee-seog (hayupo pichani) kuhusu masuala mbalimbali katika kuimarisha ushrikiano kati ya Tanzania na Jamhuri ya Korea. Mkutano huo uliwahusisha pia wadau  kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za hapa nchini akiwemo Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

 WAUMINI 4,000 waliopona corona (covid 19) nchini korea kusini wajitolea Kutoa utegili(plasma) yenye thamani ya trilioni 192 na bilioni 394 za kitanzania kwa ajili ya tiba ya corona.
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

11 years ago

Michuzi

UNHWA YA KOREA KUSINI KUISAIDIA NIMR KATIKA UGUNDUZI WA DAWA KWA KUTUMIA MIMEA

 Na Father Kidevu Blog, Dar es Salaam Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Tanzania (NIMR), imesaini mkataba wa ushirikiano na kampuni ya UNHWA ya Jamhuri ya Korea ambapo kampuni hiyo itaisaidia NIMR teknolojia mpya ya kufanya ugunduzi wa dawa za binadamu kwa kutumia mimea.
Makubaliano hayo yamesainiwa jijini Dar es salaam pembezoni mwa kongamano la 28 la kisayansi la NIMR, ambapo mkurugenzi mkuu wa taasisi hiyo Dk. Mwele Malecela amesema hatua hiyo ni muhimu katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani