Wataka muswada wa ubia uwanufaishe wananchi
>Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Ubia wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi unaweza kuwa na manufaa kwa Watanzania iwapo sekta binafsi itapewa kipaumbele katika kusimamia na kuendesha miradi mikubwa ya uchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Nov
Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.
11 years ago
Habarileo01 Nov
Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini
MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Wananchi wataka mapato, matumizi
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’
VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...
11 years ago
Mwananchi16 May
Wananchi wataka ulinzi kwa albino
11 years ago
GPLWANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU
10 years ago
Vijimambo13 Aug
WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA




Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi
WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Repoa: Wananchi wachoshwa na ukata, wataka fursa za kujikwamua