Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka muswada wa ubia uwanufaishe wananchi

>Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Ubia wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi unaweza kuwa na manufaa kwa Watanzania iwapo sekta binafsi itapewa kipaumbele katika kusimamia na kuendesha miradi mikubwa ya uchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary NaguSERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.

 

11 years ago

Habarileo

Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini

MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka mapato, matumizi

Mkutano wa mwaka wa Kijiji cha Chalikani, Kata ya Maweni, Halmashauri ya Jiji la Tanga umevunjika baada ya wananchi kutaka kwanza kusomewa taarifa ya mapato na matumizi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’

VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka ulinzi kwa albino

Kuanza upya kujitokeza mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino) mkoani Simiyu, kumesababisha wananchi kuomba Serikali kuwawekea ulinzi mkali walemavu hao ili waishi kwa amani.

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU

Bomu lililookotwa maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar es Salaam. BAADHI ya wananchi wameitaka serikali iwape elimu ya  kutambua zana za milipuko kama vile mabomu ili kuepusha madhara pindi wanapoyaokota au kuyakaribia. Kauli hizo zimetokana na kuongezeka kwa matukio ya kuonekana kwa zana za milipuko  na mabomu ambapo mengine yameokotwa  sehemu mbalimbali nchini, likiwemo bomu lililoonekana juzi maeneo ya Kijitonyama,...

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA

Msafara wa Mhe.Lowassa wazuiliwa na wananchi mosh wakililia kumuona maeneo ya Boma akitokea KIA kuelekea msibani Mwanga..

Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com

 

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

10 years ago

Mwananchi

Repoa: Wananchi wachoshwa na ukata, wataka fursa za kujikwamua

Taasisi  ya  Utafiti wa Kupunguza Umasikini (Repoa)   imeiomba   Serikali   kutoa  nafasi   kwa  wananchi   waweze kutoa maamuzi  katika  mambo yanayowagusa  ili  kuwakwamua kiuchumi na kuwapunguzia machungu ya umasikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani