Wananchi wataka ulinzi kwa albino
Kuanza upya kujitokeza mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino) mkoani Simiyu, kumesababisha wananchi kuomba Serikali kuwawekea ulinzi mkali walemavu hao ili waishi kwa amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-EYMU84WBrB8/VVXcog3joRI/AAAAAAAC4g0/2K_OHYhL4og/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-EYMU84WBrB8/VVXcog3joRI/AAAAAAAC4g0/2K_OHYhL4og/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 15, May 2015Tele Fax : 2153426Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linasikitishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s72-c/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Taarifa ya kifo kwa vyombo vya habari kutoka JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ).
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s1600/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Brigedia Jenerali Hashim Iddi Mbita (mstaafu) enzi za uhai wake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cou40X-9XwI/VT9im-1FWlI/AAAAAAAHTw8/_9bebtCWLsQ/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi, Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203, Telex : 41051 DAR ESSALAAM, 28 Aprili, 2015. Tele Fax : 2153426 Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa ya kifo kwa Vyombo vya...
11 years ago
Habarileo09 Feb
Waliovunjiwa makazi na mwekezaji Moro wataka ulinzi
WAKAZI wa kijiji cha Kidago katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro ambao walivunjiwa makazi yao kwa kile kinachodaiwa kuvamia shamba la mwekezaji Martin Shem, wameiomba serikali na vyombo vya usalama mkoani Morogoro kuwawekea ulinzi.
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Mtoto albino azikwa chini ya ulinzi
Na Benjamin Masese, Geita
MABAKI ya mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati (1) ambaye alitekwa Februari 16, mwaka huu na kuuawa kwa kukatwa mikono na miguu, jana yalizikwa kaburini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mazishi ya mtoto huyo yalifanyika saa tisa alasiri katika Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, huku polisi wakiwa wameimarisha ulinzi.
Mabaki ya mwili wa mtoto huyo yalipelekwa kwanza nyumbani kwa babu yake, Misalaba Manyamche, saa sita mchana kabla ya...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Maziko ya mtoto albino kufanyika chini ya ulinzi mkali
9 years ago
Mwananchi03 Dec
NYANZA: Albino wataka ubunge wa kuteuliwa na Rais Magufuli
9 years ago
StarTV23 Dec
Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)
Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.
Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.
Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Wananchi wataka mapato, matumizi
10 years ago
GPLWANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU