NYANZA: Albino wataka ubunge wa kuteuliwa na Rais Magufuli
Chama cha Albino Tanzania (Tas) Mkoa wa Mwanza, kimemuomba Rais John Magufuli atumie nafasi zake kumi za uteuzi kuchagua wabunge wenye ulemavu ili Bunge liwe na sauti ya kuwatetea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Mar
NYANZA: Walimu kortini kwa kuuza mafuta ya albino
>Walimu wawili wa Shule ya Msingi Maalumu Mtindo na mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta ya ngozi kwa ajili ya albino.
10 years ago
VijimamboMuwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rageh
hii walikutana uso kwa uso walipofika ofisi za CCM wilaya kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge wa wa Tabora mjini. Wote wawili katika kuonesha siasa si chuki wala ugomvi walilakiana na kusalimiana kwa uzuri kabisa.
10 years ago
MichuziMuwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rage
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VbvHliDwf9Y/XvCLcoqzc7I/AAAAAAALu6c/lldVMfArMtQUMaBhkjrr1kLtpuN8B0ZtACLcBGAsYHQ/s72-c/18.jpg)
RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...
11 years ago
Mwananchi16 May
Wananchi wataka ulinzi kwa albino
Kuanza upya kujitokeza mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino) mkoani Simiyu, kumesababisha wananchi kuomba Serikali kuwawekea ulinzi mkali walemavu hao ili waishi kwa amani.
10 years ago
Mwananchi01 May
NYANZA: Rais Kikwete kuaga wafanyakazi leo
>Rais Jakaya Kikwete, leo, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), huku Mkoa wa Mwanza ukiahidi kumuenzi na kukumbuka mchango wake katika utumishi wake wa miaka 10 katika uongozi wake.
10 years ago
Habarileo02 Jan
Moravian wataka wagombea ubunge waadilifu
KANISA la Moravian Tanzania limetoa wito kwa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu za vyama vya siasa nchini kuhakikisha kuwa vinateua majina ya watu walio waadilifu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu muda utakapowadia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania