Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moravian wataka wagombea ubunge waadilifu

Kanisa la Moravian Tanzania Misheni Mashariki, Dar es Salaam.KANISA la Moravian Tanzania limetoa wito kwa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu za vyama vya siasa nchini kuhakikisha kuwa vinateua majina ya watu walio waadilifu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu muda utakapowadia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

CCM yapitisha wagombea ubunge

Katika jimbo la Pangani Vijijini, mgombea aliyeshika nafsi ya pili, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita alipitishwa badala ya John Sallu aliyeongoza.Kwa upande wa viti maalumu, Halmashauri Kuu imefanya mabadiliko katika baadhi ya mikoa ikiwamo Dar es Salaam ambao aliyeongoza, Angela Kizigha aliondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Janeth Masaburi.

 

9 years ago

Habarileo

Wagombea ubunge kikaangoni leo

KLABU ya waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC) itawakutanisha wagombea ubunge sita wa Jimbo la Iringa mjini katika mdahalo utakaofanyika ndani ya ukumbi wa Highlands mjini Iringa.

 

9 years ago

Mtanzania

Wagombea ubunge Chadema hadharani

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepitisha majina ya wagombea ubunge wa chama hicho katika mikoa mbalimbali chini ya mwamvuli wa Ukawa.

Katika uteuzi huo, baadhi ya wanasiasa na wanahabari wamefanikiwa kupenya katika chekeche la mchujo wa chama hicho na kufanikiwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika, iliwataja wanachama...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yatangaza wagombea ubunge

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 135 yaliyoteuliwa na Kamati Kuu yakiwamo ya wabunge na makada wa CCM waliohamia katika chama hicho.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wagombea ubunge watwangana ngumi

KAMPENI za wagombea ubunge 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaojinadi kwa wanachama kabla ya upigaji wa kura ya maoni katika Jimbo la Arusha Mjini, juzi ziliingia dosari baada ya wagombea wawili kutwangana makonde wakati wa kikao cha majumuisho.

Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Arusha saa 11:30 jioni wakati wagombea hao walipokaa na viongozi wa chama wilaya.

Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilizolifikia Raia Tanzania na kuthibitishwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

CUF yatangaza wagombea ubunge, uwakilishi.



Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza majina ya wagombea ubunge na uwakilishi walioteuliwa na Baraza Kuu la chama hicho.
Baraza hilo lilikutana juzi jijini Dar es Salaam na kuchambua majina ya wagombea waliopitishwa kwenye kura za maoni katika majimbo mbalimbali nchini.

Wakati majina hayo yakitangazwa, baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia uteuzi huo kuwa haukuwa huru na haki.
Aidha, katika Jimbo la Mkanyageni, Pemba, wanachama wa chama hicho kwenye kura ya maoni ‘walimtema’ Mbunge wao...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewatambulisha wagombea udiwani na ubunge katika Manispaa ya Bukoba, huku aliyekuwa meya wa manispaa hiyo, Dk Anatory Amani akiachwa.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto aongoza wagombea ubunge ACT-Wazalendo

CHAMA cha ACT Maendeleo kimetoa rasmi majina ya wagombea wake watakaokiwakilisha chama hicho, katika nafasi za ubunge na uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, huku Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto akiwania ubunge jimbo la Kigoma mjini.

 

10 years ago

Mwananchi

Obama ni mzigo kwa wagombea ubunge wa Democratic

Licha ya kwamba Rais Barack Obama bado ana miaka miwili zaidi kukamilisha awamu yake ya pili na ya mwisho kama Rais wa Marekani hata hivyo, mwezi ujao, Novemba 4, kutafanyika uchaguzi wa mabaraza yote mawili ya Bunge la nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani