Mwandosya- Posho ya wabunge wapewe waathirika wa mafuriko
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Profesa Mark Mwandosya ameomba Bunge Maalumu la Katiba, kukata posho ya siku moja ya wajumbe wote wa Bunge hilo ili kuwapa pole waathirika wa mafuriko nchini, ikiwa ni pamoja na viongozi waliopata ajali ya helikopta.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Posho za wajumbe kupoza waathirika wa mafuriko
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Wabunge wapewe magari badala ya fedha
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Wabunge kutaka wapewe ulinzi ni ubinafsi uliokithiri!
HAPANA! Wanasema ni ulevi wa madaraka. Lakini nini kimesababisha ulevi huu jamani? Nasikia sasa kuna mbunge keshaona ya ulimwengu huu aliyonayo hayamtoshi sasa anataka apewe ulinzi. Ebo! Kwani yamekuwa hayo sasa kwa wabunge...
10 years ago
Mwananchi05 May
Waathirika wa mafuriko waomba msaada
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Waathirika wa mafuriko wadai kutelekezwa
BAADHI ya wakazi wa Kijiji cha Bulembo ambao walikumbwa na maafa ya nyumba zao kuanguka na nyingine kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua, wamedai kutelekezwa na serikali. Wakizungumza kwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mil. 44/- kusaidia waathirika wa mafuriko
HATIMAYE Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalumu la Katiba imeridhia wajumbe wake kukatwa posho ya siku moja ambayo ni sh 70,000 kila mjumbe ili kuwasaidia waliokumbwa na mafuriko, Mkoa wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mwandosya: Wajumbe wachangie mafuriko
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalumu, Profesa, Mark Mwandosya, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukubali kutoa mchango wa posho yao ya siku moja ambayo...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Waathirika mafuriko wapewa mabati 689
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa mabati 689 yenye thamani ya Sh milioni 15 kwa wananchi wa wilaya za Hai na Mwanga, waliokumbwa na mafuriko. Mafuriko hayo yalisababisha zaidi ya kaya 500 kukosa makazi.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Dk. Mwanjelwa alivyosaidia waathirika wa mafuriko Kyela
MBALI na Mbunge wa Jimbo la Kyela mkoani Mbeya, Dk, Harrison Mwakyembe, kutoa misaada kwa waathirika wa mafuriko jimboni humo, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Dk. Mary Mwanjelwa, amejitokeza na...