Mwandosya: Wajumbe wachangie mafuriko
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalumu, Profesa, Mark Mwandosya, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukubali kutoa mchango wa posho yao ya siku moja ambayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Apr
Mwandosya- Posho ya wabunge wapewe waathirika wa mafuriko
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Profesa Mark Mwandosya ameomba Bunge Maalumu la Katiba, kukata posho ya siku moja ya wajumbe wote wa Bunge hilo ili kuwapa pole waathirika wa mafuriko nchini, ikiwa ni pamoja na viongozi waliopata ajali ya helikopta.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G_p_W66nexc/U0yiU7NN5RI/AAAAAAAFayY/UoG8YZTe26U/s72-c/unnamed+(34).jpg)
profesa mwandosya atoa taarifa ya mafuriko na ajali ya helikopta jijini Dar es salaam bungeni
![](http://3.bp.blogspot.com/-G_p_W66nexc/U0yiU7NN5RI/AAAAAAAFayY/UoG8YZTe26U/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Posho za wajumbe kupoza waathirika wa mafuriko
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Makala ataka wananchi wachangie majiÂ
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makala, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kisarawe kushiriki kuchangia michango katika miradi ya maji kufanikisha utekelezaji wake. Makala alitoa wito huo wakati wa ziara yake...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
10 years ago
TheCitizen27 Jun
Mwandosya: I’m best placed to win
9 years ago
Vijimambo11 Sep
KAULI YA MWANDOSYA
![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-0/p296x100/11219369_476805755824495_9020928441289110502_n.jpg?oh=5c794e65eb8d4c1e96eb4dc5c2b52836&oe=5671F2A7&__gda__=1454090881_d40398ab1bca312cc964678ffb2fd26b)
KAULI YA MWANDOSYA
Mzee Lowassa ni mtu makini, lakini Kikwete alipoona Lowassa anaikosoa serikali ya CCM, akamtuma Makonda amtukane. CCM hawajui kama Lowassa alikuwa anawatetea wananchi aliposema "viongozi wa serikali wanalalamika badala ya kutatua shida za wananchi, naomba viongozi wafanye maamuzi magumu; haiwezekani raia walalsmike na viongozi walalamike nani atatatua shida??Lowassa alikuwa mchapakazi akashawishi maji ya ziwa Victoria yawanufaishe watanzania, akasukuma ujenzi wa shule za...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.