Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makala ataka wananchi wachangie maji 

NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makala, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kisarawe kushiriki kuchangia michango katika miradi ya maji kufanikisha utekelezaji wake. Makala alitoa wito huo wakati wa ziara yake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI

Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kuwafichua wale wote wanaoshiriki katika wizi wa maji ili waweze kuchukuliwa hatua kali za kisheria.Alitoa wito huo jana wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji inayosababishwa na uchakavu wa miundombinu na wizi wa maji
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...

 

5 years ago

Michuzi

MAKALA: Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA


Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua  za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo  zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .

Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.

Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandosya: Wajumbe wachangie mafuriko

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalumu, Profesa, Mark Mwandosya, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukubali kutoa mchango wa posho yao ya siku moja ambayo...

 

10 years ago

TheCitizen

Majia in Pacquiao support bout

Tanzanian professional boxer, Fadhili Majia must be wearing a broad smile even though the task he faces on Saturday is hardly enviable.

 

11 years ago

TheCitizen

Majia to take on Filipino in WBO title fight

A local pugilist, Fadhiri Majia will on Saturday vie for the World Boxing Organisation (WBO) Asia Pasific bantamweight title against Marlon Tapales of Philippines on June 28th.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nape ataka wananchi waelimishwe

KUTOKANA na vurugu zilizosababisha na gesi asilia mkoani Mtwara mwaka jana, Serikali imeshauriwa kuwape elimu wananchi kwanza kabla ya kutekeleza mradi wowote katika eneo husika. Ushauri huo umetolewa juzi na...

 

11 years ago

Habarileo

DC ataka wananchi kujenga nyumba imara

MKUU wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wilayani humo, kujenga nyumba imara na kupanda miti ya vivuli na matunda, ili kustawisha mazingira na kuzuia upepo kuvuma kwa kasi na kuleta madhara.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Nagu ataka wananchi wawezeshwe kiuchumi

Dk Mary NaguWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amesema kazi ya kuwawezesha wananchi kiuchumi si ya serikali pekee na kuwataka wadau mbalimbali na taasisi za fedha kutumia sehemu ya faida yake kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani