Makala ataka wananchi wachangie majiÂ
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makala, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kisarawe kushiriki kuchangia michango katika miradi ya maji kufanikisha utekelezaji wake. Makala alitoa wito huo wakati wa ziara yake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Dec
WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...
5 years ago
MichuziMAKALA: Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA
Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XxNlzzusg8U/Xkv-RxNkdMI/AAAAAAALeCY/y49Hz_a2-ignXQM4a9QQYnMJa5VoHKusQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/wzjWafeZuZU/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mwandosya: Wajumbe wachangie mafuriko
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalumu, Profesa, Mark Mwandosya, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukubali kutoa mchango wa posho yao ya siku moja ambayo...
10 years ago
TheCitizen20 Nov
Majia in Pacquiao support bout
11 years ago
TheCitizen26 Jun
Majia to take on Filipino in WBO title fight
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Nape ataka wananchi waelimishwe
KUTOKANA na vurugu zilizosababisha na gesi asilia mkoani Mtwara mwaka jana, Serikali imeshauriwa kuwape elimu wananchi kwanza kabla ya kutekeleza mradi wowote katika eneo husika. Ushauri huo umetolewa juzi na...
11 years ago
Habarileo20 Feb
DC ataka wananchi kujenga nyumba imara
MKUU wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wilayani humo, kujenga nyumba imara na kupanda miti ya vivuli na matunda, ili kustawisha mazingira na kuzuia upepo kuvuma kwa kasi na kuleta madhara.
10 years ago
Habarileo22 Jan
Dk Nagu ataka wananchi wawezeshwe kiuchumi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amesema kazi ya kuwawezesha wananchi kiuchumi si ya serikali pekee na kuwataka wadau mbalimbali na taasisi za fedha kutumia sehemu ya faida yake kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.