Nape ataka wananchi waelimishwe
KUTOKANA na vurugu zilizosababisha na gesi asilia mkoani Mtwara mwaka jana, Serikali imeshauriwa kuwape elimu wananchi kwanza kabla ya kutekeleza mradi wowote katika eneo husika. Ushauri huo umetolewa juzi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wananchi waelimishwe kuhusu ebola
MIONGONI mwa habari kubwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kusambaa kwa kasi ugonjwa wa ebola ambao hadi sasa hauna tiba. Ebola umezikumba nchi nyingi za Afrika Magharibi;...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s640/images.jpeg)
UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...
10 years ago
GPLWANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU
Bomu lililookotwa maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar es Salaam. BAADHI ya wananchi wameitaka serikali iwape elimu ya kutambua zana za milipuko kama vile mabomu ili kuepusha madhara pindi wanapoyaokota au kuyakaribia. Kauli hizo zimetokana na kuongezeka kwa matukio ya kuonekana kwa zana za milipuko na mabomu ambapo mengine yameokotwa sehemu mbalimbali nchini, likiwemo bomu lililoonekana juzi maeneo ya Kijitonyama,...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s72-c/15.jpg)
NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOgIB_EBpPc/Vm6SBq9h9AI/AAAAAAAAsN4/YPAlbZsufB4/s640/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ICZgnMY385w/Vm6SBl7X9aI/AAAAAAAAsOA/aA9I7HuHJA4/s640/19.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xFW9_9n0sg/Vm6SCmRuSuI/AAAAAAAAsOM/0bBkgGe0_6I/s640/23.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama
Hali katika Jimbo la Mtama si shwari baada ya kundi la wananchi kufanya maandamano ya kukataa matokeo ya kura za maoni yaliyompa ushindi Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye huku wakimtaka mpinzani wake achukue uamuzi mgumu.
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Wananchi wamsaidia Nape ujumbe kwa Nyerere
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2641924/highRes/958606/-/maxw/600/-/c3mnbaz/-/nape-.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (wa pili kulia) akishirikiana na wanamuziki wa nyimbo za dansi kuimba wimbo maalumu wa kumuaga marehemu John Komba katika Viwanja vya Karimjee juzi. Picha na Venance Nestory
Dar/Mikoani. Wakati wa kumuaga John Komba, ambaye alikuwa mpiga kampeni mashuhuri wa CCM, kada wa chama hicho, Nape Nnauye aliimba “Neenda baba… msalimie Mwalimu (Julius Nyerere), mweleze hali ya Watanzania ilivyo hivi sasa, mweleze hali ya nchi yetu ilivyo wakati huu,” bila...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-M7Vrzjbo9J0/Uuhw0a5XFEI/AAAAAAAALfE/Te_8go2kwX0/s1600/20140128_165947.jpg)
NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akila chakula cha mchana kwenye kibanda cha Mama Lishe anayefahamika kama Bi. Tandiwa Tewete kwenye soko la Sido Mwanjelwa mjini Mbeya.   Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikatiza katikati ya soko la Sido Mwanjelwa kwenda kwenye…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania