Wananchi waelimishwe kuhusu ebola
MIONGONI mwa habari kubwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kusambaa kwa kasi ugonjwa wa ebola ambao hadi sasa hauna tiba. Ebola umezikumba nchi nyingi za Afrika Magharibi;...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Nape ataka wananchi waelimishwe
KUTOKANA na vurugu zilizosababisha na gesi asilia mkoani Mtwara mwaka jana, Serikali imeshauriwa kuwape elimu wananchi kwanza kabla ya kutekeleza mradi wowote katika eneo husika. Ushauri huo umetolewa juzi na...
11 years ago
GPLWANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU
5 years ago
Michuzi
Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe

UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

5 years ago
MichuziRC Mongella: Watendaji Serikalini waelimishwe kutoa haki kwa wakati
Mongella alitoa rai hiyo katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza Aprili 20, 2020.
Akiongea katika kikao hicho...
11 years ago
Dewji Blog20 Aug
Tishio la EBOLA, wananchi wakae chonjo
Pichani ni baadhi ya Daktari wakiwa wamembeba mgonjwa wa EBOLA picha kwa hisani ya Mtandao.
Na Hannah Mayige, wa Chuo Kikuu Huria, OUT
TISHIO la ugonjwa wa Ebola unaoendelea kuuwa mamia ya watu Afrika Magharibi, umezua wasiwasi mkubwa kwa nchi za Afrika na dunia nzima kwa ujumla na kutakiwa watanzania kuchukua tahadhari kubwa kudhibiti ugonjwa huo usiingie nchini.
Lazima Serikali na wananchi wazingatie masharti na tahadhari inayotolewa kimataifa kuudhibiti ugonjwa na utayari...
11 years ago
BBCSwahili05 Sep
WHO kushauri kuhusu dawa ya Ebola
11 years ago
BBCSwahili22 Oct
Taarifa mseto kuhusu Ebola