WHO kushauri kuhusu dawa ya Ebola
Shirika la afya duniani linatarajia kutoa ushauri kuhusu dawa inayoweza kutibu maradhi ya Ebola baadae leo Mjini Geneva
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
Watakiwa kutafiti magonjwa na kushauri tiba bora
WATAALAMU wa sekta ya afya nchini wameshauriwa kutumia taaluma yao kutafiti visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii na kuleta majibu ya jinsi ya kutokomeza vimelea vya magonjwa hayo.
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Japan ikotayari kutoa dawa ya Ebola
11 years ago
Habarileo08 Aug
'Muda wa kupeleka dawa za ebola Afrika bado'
RAIS Barack Obama wa Marekani amesema ni mapema sana kupeleka dawa ya majaribio ya ugonjwa wa ebola Magharibi mwa Afrika, ingawa Liberia imetangaza hali ya hatari nchini humo kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo ambao hauoneshi dalili za kupungua.
11 years ago
Habarileo07 Aug
Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola
WATAALAMU wa masuala ya ebola, wamehoji ni kwa nini wafanyakazi wa afya wa Marekani, ndio tu wanaopewa dawa za majaribio. Wataalamu watatu wa masuala hayo, wametaka dawa hizo za majaribio na chanjo, zipewe kwa watu wa Afrika Magharibi, ambako kuna mlipuko wa ugonjwa huo hatari.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola
11 years ago
Mwananchi18 May
Tupeni ukweli kuhusu dawa ya Truvada
11 years ago
Habarileo20 Mar
Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno
JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi