Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO kushauri kuhusu dawa ya Ebola

Shirika la afya duniani linatarajia kutoa ushauri kuhusu dawa inayoweza kutibu maradhi ya Ebola baadae leo Mjini Geneva

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Watakiwa kutafiti magonjwa na kushauri tiba bora

WATAALAMU wa sekta ya afya nchini wameshauriwa kutumia taaluma yao kutafiti visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii na kuleta majibu ya jinsi ya kutokomeza vimelea vya magonjwa hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuwawataalam wanaendelea kufanya utafiti wa kupata dawa ya Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan ikotayari kutoa dawa ya Ebola

Japan ikotayari kutoa dawa ambayo haijajaribiwa ya T-705 Avigan kwa wagonjwa wa Ebola

 

11 years ago

Habarileo

'Muda wa kupeleka dawa za ebola Afrika bado'

RAIS Barack Obama wa Marekani amesema ni mapema sana kupeleka dawa ya majaribio ya ugonjwa wa ebola Magharibi mwa Afrika, ingawa Liberia imetangaza hali ya hatari nchini humo kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo ambao hauoneshi dalili za kupungua.

 

11 years ago

Habarileo

Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola

WATAALAMU wa masuala ya ebola, wamehoji ni kwa nini wafanyakazi wa afya wa Marekani, ndio tu wanaopewa dawa za majaribio. Wataalamu watatu wa masuala hayo, wametaka dawa hizo za majaribio na chanjo, zipewe kwa watu wa Afrika Magharibi, ambako kuna mlipuko wa ugonjwa huo hatari.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola

Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tupeni ukweli kuhusu dawa ya Truvada

Yapo matumaini makubwa ya kukabiliana na janga la Ukimwi kama wananchi watakubali kuwa mstari wa mbele kupambana na adui huyo mkubwa anayeingia nyumbani.

 

11 years ago

Habarileo

Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno

JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.

 

10 years ago

Mwananchi

TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi

Dunia hivi sasa inatikiswa na taarifa za kisayansi kwamba mojawapo ya dawa ya meno iliyopo kwenye soko ina kemikali aina ya triclosan ambayo ina sababisha ugonjwa wa saratani ambao kisayansi hadi hivi sasa hauna tiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani