Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan ikotayari kutoa dawa ya Ebola

Japan ikotayari kutoa dawa ambayo haijajaribiwa ya T-705 Avigan kwa wagonjwa wa Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MIJI YA JAPAN YAZIDI KUITIKIA WITO WA UBALOZI NA KUTOA MISAADA ZIADI YA MAGARI YA HUDUMA

Baada ya Mji wa Ibaraki kutoa magari mawili ya kubeba wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto mwezi Februari, 2015, Miji mingine ya Japan nayo imeunga mkono jitihada hizo. Pichani Mhe. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania Japan na Mhe. Toshima Suzuki, Meya wa Mji wa Tochigi wakionyesha mkataba wa makubaliano wa msaada wa magari 10 ya huduma, gari 6 ni kwa ajili ya Zimamoto na 4 kubeba Wagonjwa. Gari mbili (moja la wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto) zimetolewa Machi 24 na mji huo kwa mwaka...

 

9 years ago

Michuzi

MSD YATAKAIWA KUTOA DAWA ZINAZOHITAJIKA

Vikundi mbalimbali vya wajasiriamali wa Vicoba, Saccos na wasindikajingozi waMji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,wakiwa kwenye kongamanola uhamasishaji wa mpango wa bima ya afya kwa wajasiriamali na vikundivilivyosajiliwa (Kikoa)  Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) Mkoani Manyara, Isaya Shekifu akizungumza jana katika kongamano la uhamasishaji wa mpango wa bima ya afya wa kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji mdogo wa Mirerani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali kutoa dawa za kisukari bure’

SERIKALI imesema itajitahidi kutenga fedha katika bajeti yake, ambazo zitatumika kununua dawa za maradhi ya kisukari itakazozigawa bure kwa wagonjwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Waziri...

 

5 years ago

Michuzi

MASHAIDI 19 KUTOA USHAIDI KESI YA DAWA ZA KULEVYA

MAHAKAMA Kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam imeelezwa kuwa jumla ha mashahidi 19 wanatarajiwa kutoa ushahidi wao katika kesi ya kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya inayomkabili Gudluck Mbowe na Ally Mtema
Wakili wa serikali Costantine Kakula amedai hayo leo Mei 22, 2020 mbele ya Jaji Immaculata Banzi wakati akiwasomea hoja za awali washtakiwa hao.
Pia wakili Kakula amedai pamoja na mashahidi hao, upande wa mashtaka utawasilisha vielelezo mbalimbali ikiwemo mabegi...

 

5 years ago

Michuzi

DK. ZAINAB CHAULA: MSD MSIKUBALI KUTOA DAWA BURE

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akizungumza na Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la taasisi hiyo katika Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Tanzania ukumbi wa Julius Nyerere Posta. jijini Dar es salaamKatibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akimsikiliza Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la...

 

9 years ago

StarTV

Vijana walioathirika na Dawa Za Kulevya waishauri Serikali kutoa elimu

Vijana walioathirika na dawa za Kulevya nchini wameishauri Serikali ianze kutoa elimu ya kutambua athari ya utumiaji wa dawa hizo ili kukabiliana na athari ambayo inaweza kujitokeza hapo baadae na kupoteza nguvu kazi ya Taifa.

Ushauri huo umetolewa na Vijana waliojitambua baada ya kutumia dawa za kulevya kwa muda mrefu ambazo zilisababisha baadhi yao kupoteza masomo, kazi na kutengwa na  jamii.

 Frank John ni Mkurugenzi wa kituo cha Ties that Bind Recovery ambaye pia ni muathirika wa dawa...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO kushauri kuhusu dawa ya Ebola

Shirika la afya duniani linatarajia kutoa ushauri kuhusu dawa inayoweza kutibu maradhi ya Ebola baadae leo Mjini Geneva

 

10 years ago

BBCSwahili

Watafiti na dawa ya Ebola: A.Magharibi

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuwawataalam wanaendelea kufanya utafiti wa kupata dawa ya Ebola.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: WHO yasitisha majaribio ya dawa ya Hydroxychloroquine na kutoa onyo

Vipimo vilivyokuwa vikifanywa katika mataifa kadhaa vimesitishwa kwa muda kama hatua ya kuchukua tahadhari

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani