MIJI YA JAPAN YAZIDI KUITIKIA WITO WA UBALOZI NA KUTOA MISAADA ZIADI YA MAGARI YA HUDUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8HHUCX5mjU/VRUScqpKWdI/AAAAAAAHNkc/nIb26zImoTI/s72-c/UntitledJ1.png)
Baada ya Mji wa Ibaraki kutoa magari mawili ya kubeba wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto mwezi Februari, 2015, Miji mingine ya Japan nayo imeunga mkono jitihada hizo. Pichani Mhe. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania Japan na Mhe. Toshima Suzuki, Meya wa Mji wa Tochigi wakionyesha mkataba wa makubaliano wa msaada wa magari 10 ya huduma, gari 6 ni kwa ajili ya Zimamoto na 4 kubeba Wagonjwa. Gari mbili (moja la wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto) zimetolewa Machi 24 na mji huo kwa mwaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OpNsz0ijIn0/VOWUKi4OvVI/AAAAAAAHEcc/pVOlhHX7xpE/s72-c/Untitled.png)
UBALOZI WA TANZANIA - JAPAN WAPOKEA MSAADA WA MAGARI YA HUDUMA ZA AFYA NA ZIMAMOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpNsz0ijIn0/VOWUKi4OvVI/AAAAAAAHEcc/pVOlhHX7xpE/s1600/Untitled.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s72-c/2-987340de94.jpg)
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan
![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s1600/2-987340de94.jpg)
11 years ago
Habarileo03 Feb
Misaada yazidi kumiminika Magole
OFISI ya Waziri Mkuu Kitengo cha Maafa imetoa tani 105 za mahindi na vifaa vingine kwa ajili ya watu walioathiriwa na mafuriko katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6vGV49bZLlU/XnJDCQoueyI/AAAAAAALkRM/goTTODmA4cwkgFSc9dz1_JuXbDwpxgiCQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.24.56%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Japan yakabidhi magari 5 ya zimamoto
SERIKALI kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, limepokea magari matano ya zimamoto, yaliyotolewa na Chama cha Zimamoto cha Japan. Magari hayo yalikabidhiwa jana nchini na Balozi Masaka Okada kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgCAcJcEDM/VlYirlt232I/AAAAAAAIIZw/abrKPXB1avI/s72-c/76fc7db5-91b0-48ad-a813-d3ea9976475b.jpg)
MAGARI YANAUZWA DAR ES SALAAM, STRAIGHT FROM JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgCAcJcEDM/VlYirlt232I/AAAAAAAIIZw/abrKPXB1avI/s640/76fc7db5-91b0-48ad-a813-d3ea9976475b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmWtpKZLfvk/VlYir9VS3AI/AAAAAAAIIZ0/D7QaHPKvlwY/s640/d875dc37-e68a-4371-afaf-88d7c43dd0a5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZWMMSrLKtPQ/VlYir2qdAmI/AAAAAAAIIZ4/u22RAvlTlzc/s640/e432eecc-c7c9-4de8-8049-fca57fe2e2c5.jpg)
Kwa Mawasiliano piga namba +255 773422613.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s400/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--ppotKtjnbM/VEEsO_RaF9I/AAAAAAAGrUw/wkf1cUhFh1I/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand yazidi kuing'arisha Tanzania nchini Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/--ppotKtjnbM/VEEsO_RaF9I/AAAAAAAGrUw/wkf1cUhFh1I/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Ujumbe wa M.M.C ulieleza kuwa siku ya kwanza ya kampeni hii maalum kwa Tanzania na Tokaido Shinkasen jumla ya vikombe vya kawahawa 9999 viliuzwa, na kumbe mauzo yanaongezeka siku baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IGuGvo95oXs/VOXgaudEAjI/AAAAAAAAnag/-f2Kodtyh9o/s72-c/T3.jpg)
Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGuGvo95oXs/VOXgaudEAjI/AAAAAAAAnag/-f2Kodtyh9o/s1600/T3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IIV6cwPQ6Fg/VOXglFu1DrI/AAAAAAAAna4/t4leeqH8sNw/s1600/T6.jpg)