Japan yakabidhi magari 5 ya zimamoto
SERIKALI kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, limepokea magari matano ya zimamoto, yaliyotolewa na Chama cha Zimamoto cha Japan. Magari hayo yalikabidhiwa jana nchini na Balozi Masaka Okada kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s72-c/unnamed+(12).jpg)
JAPAN YATOA MSAADA WA MAGARI KWA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OpNsz0ijIn0/VOWUKi4OvVI/AAAAAAAHEcc/pVOlhHX7xpE/s72-c/Untitled.png)
UBALOZI WA TANZANIA - JAPAN WAPOKEA MSAADA WA MAGARI YA HUDUMA ZA AFYA NA ZIMAMOTO
Balozi wa Tanzania nchini Japan,Mhe. Salome Sijaona amepokea msaada wa magari mawili ya kubeba wagonjwa (Ambulance) na moja la zimamoto yaliyotolewa na mji wa Ibaraki, Japan kwa Serikali ya Tanzania ambao ni msaada kwa Tanzania katika kuboresha huduma za afya na kukabiliana na majanga ya moto.
Balozi wa Tanzania nchini Japan,Mh. Salome Sijaona akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Meya wa Mji wa Ibaraki nchini Japan, Yasuhira Kimoto wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya magari...
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpNsz0ijIn0/VOWUKi4OvVI/AAAAAAAHEcc/pVOlhHX7xpE/s1600/Untitled.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rcl26_3Tv_U/XocIwP63-5I/AAAAAAALl5k/HrbMjjTv0S4m_JXwPWInQFGQs0_ah-4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/2e4b49ca-049e-428c-9201-d413b033693c.jpg)
KINONDONI YAPULIZA DAWA HOTELI ZA KITALII KUDHIBITI CORONA KWA KUTUMIA MAGARI YA ZIMAMOTO
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeendelea kupambana vikali kuthibiti kuenea kwa virusi vya COVID 19 (Corona) kwa kupuliza dawa katika hotel za kitalii zilizopo katika Halmashauri hiyo.
Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...
Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgCAcJcEDM/VlYirlt232I/AAAAAAAIIZw/abrKPXB1avI/s72-c/76fc7db5-91b0-48ad-a813-d3ea9976475b.jpg)
MAGARI YANAUZWA DAR ES SALAAM, STRAIGHT FROM JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgCAcJcEDM/VlYirlt232I/AAAAAAAIIZw/abrKPXB1avI/s640/76fc7db5-91b0-48ad-a813-d3ea9976475b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmWtpKZLfvk/VlYir9VS3AI/AAAAAAAIIZ0/D7QaHPKvlwY/s640/d875dc37-e68a-4371-afaf-88d7c43dd0a5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZWMMSrLKtPQ/VlYir2qdAmI/AAAAAAAIIZ4/u22RAvlTlzc/s640/e432eecc-c7c9-4de8-8049-fca57fe2e2c5.jpg)
Kwa Mawasiliano piga namba +255 773422613.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bwt5IYs0fM8/VS44LlyTsZI/AAAAAAAHRP0/ccS9lY7poxo/s72-c/1.jpg)
Airtel yakabidhi magari kwa washindi 8 wa Mkoa wa Dar es saalam
![](http://3.bp.blogspot.com/-bwt5IYs0fM8/VS44LlyTsZI/AAAAAAAHRP0/ccS9lY7poxo/s1600/1.jpg)
Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni washindi wengine wa droo hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-FPJ9cj37rZ8/VS44OWRU9nI/AAAAAAAHRP8/gKublVOo9vo/s1600/1A.jpg)
9 years ago
VijimamboUNICEF YAKABIDHI MAGARI KUMI( 10) YA KUBEBEA WAGONJWA MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8HHUCX5mjU/VRUScqpKWdI/AAAAAAAHNkc/nIb26zImoTI/s72-c/UntitledJ1.png)
MIJI YA JAPAN YAZIDI KUITIKIA WITO WA UBALOZI NA KUTOA MISAADA ZIADI YA MAGARI YA HUDUMA
Baada ya Mji wa Ibaraki kutoa magari mawili ya kubeba wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto mwezi Februari, 2015, Miji mingine ya Japan nayo imeunga mkono jitihada hizo.
Pichani Mhe. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania Japan na Mhe. Toshima Suzuki, Meya wa Mji wa Tochigi wakionyesha mkataba wa makubaliano wa msaada wa magari 10 ya huduma, gari 6 ni kwa ajili ya Zimamoto na 4 kubeba Wagonjwa. Gari mbili (moja la wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto) zimetolewa Machi 24 na mji huo kwa mwaka...
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8HHUCX5mjU/VRUScqpKWdI/AAAAAAAHNkc/nIb26zImoTI/s1600/UntitledJ1.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s72-c/2-987340de94.jpg)
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan
![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s1600/2-987340de94.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania