Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGARI YANAUZWA DAR ES SALAAM, STRAIGHT FROM JAPAN

 Toyota Grand Hiace 8 seats, bei ni  Tshs. 16 million. Jeep Cherokee, bei ni Tshs 35 millions.Toyota Dyna. 1.5tonns, petrol engine 3Y, bei ni Tshs 20 million.
Kwa Mawasiliano piga namba +255 773422613.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Magari haya yanauzwa kwa bei nafuu

TOYOTA AVENSES (3) TOYOTA AVENSES (2) TOYOTA AVENSES (1)
TOYOTA AVENSIS 1.9 CC

DIESEL ENGINE

MODEL 2005 MANUAL

THE CAR IS IN DAR ES SALAAM JUST IMPORTED FROM U.K LONDON

PRICE T.SH. 7.5 MILLION

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659 895

 

LAND ROVER DISCOVERY TD5 (2) LAND ROVER DISCOVERY TD5 (1)

LAND ROVER DISCOVERY TD5

MODEL 2004 PICK UP AUTOMATIC

GEAR BOX DIESEL

PRICE 17 MILLION

THE CAR IS IN ZANZIBAR BUT WE CAN ARRANGE SHIPPING IT TO ANYWHERE

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI AINA YA NISSAN MURANO NA TOYOTA LAV4 YANAUZWA


Gari zinauzwa kwa bei nzuri tu na zipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia namba hizi 0713327106/0756673327

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam

 Huo msalaba uuonao hapo ni taa za magazri zilizo katika foleni mishale ya saa moja jioni kwenye makutano ya barabara za Morogoro road na Nelson Mandela jijini Dar es salaam. Hakika kuna haja ya kutafuta njia mbadala za kupunguza foleni ya magari katika jiji hili. Ushauri wa bure kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Madiwani wa Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Boresheni njia za pembeni ili magari yaweze kupungua katika barabara hizi kuu. 
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

 

10 years ago

Michuzi

Trilioni Moja kutumika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.

Na Anitha Jonas - MAELEZO.
SERIKALI imedhamiria kupunguza msongamano wa magari  ndani ya jiji la Dar es Salaam kwakujenga barabara sita zitakazo ambazo ujenzi wake utasimamiwa na TANROADS. Ujenzi huo unatarajiwa kugharimu sh. trilioni moja ambapo lengo barabara hizo ni  kupunguza adha ya msongamano wa magari  katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es saalam.
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Naibu waziri wa mambo ja nje wa Japan atembelea shirika la reli jijini Dar es salaam

 Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Bw. Norio Mitsuya, mara baada ya kuwasili katika stesheni ya  Shirika la Reli Tanzania(TRL) kuangalia namna usafiri wa Treni ya Dar es Salaam Unavyofanya kazi, leo mchana

 Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Charles Tizeba, akimuonyesha mchoro wa njia ya treni ya Bara na ile ya inayofanya Safari zake kutoka stesheni mpaka Ubungo Maziwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Norio...

 

11 years ago

GPL

MAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA

 Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama  Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara

unnamed

Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.

unnamed (1)

Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...

 

11 years ago

Habarileo

Japan yakabidhi magari 5 ya zimamoto

SERIKALI kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, limepokea magari matano ya zimamoto, yaliyotolewa na Chama cha Zimamoto cha Japan. Magari hayo yalikabidhiwa jana nchini na Balozi Masaka Okada kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani