Ubalozi wa Japan wakutana na tanesco kuzungumzia uboreshaji na ukarabati wa miundombinu ya umeme hapa nchini

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akiongea na wadau wa maendeleo kutoka Japan wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.
MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akimtambulisha Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia Mgonja kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la JICA, Onishi Yasunora (kushoto) na Waziri pia mkuu wa Kazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo20 Feb
TANESCO YAZUNGUMZIA MABORESHO YA MIRADI YA MIUNDOMBINU YA EMEME NCHINI


10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Mawaziri wa nchi tano Afrika Mashariki wakutana ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani
Na Mwandishi Wetu
Mkutano uliowakutanisha Mawaziri wa nchi tano za Afrika Mashariki wakiwemo Mabalozi wa nchini zao nchini Marekani ulifanyika leo siku ya Jumatano Februari 25, 2015 katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, mkutano huo uliohusiana na maandalizi ya kutiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kati ya nchi ya Marekani na nchi za Afrika Mashariki ambazo ni Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Tanzania.
Mkutano huo uliongozwa na mwenyekiti wake Mhe....
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA NCHI TANO AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON,DC NCHINI MAREKANI
Mkutano huo uliongozwa na mwenyekiti wake Mhe. Harrison Mwakyembe...
10 years ago
GPLMAWAZIRI WA NCHI TANO AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON,DC NCHINI MAREKANI
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Kikwete, Lungu kuzungumzia uboreshaji wa reli ya Tazara
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanesco; matrilioni kumaliza mgawo wa umeme nchini
11 years ago
Michuzi
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan

10 years ago
Michuzi
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...