Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misaada yazidi kumiminika Magole

Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel BenderaOFISI ya Waziri Mkuu Kitengo cha Maafa imetoa tani 105 za mahindi na vifaa vingine kwa ajili ya watu walioathiriwa na mafuriko katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi TZ:Matokeo yazidi kumiminika

Wakati matokeo yanazidi kumiminika mwandishi wetu Tulanana Bohela ametembelea mitaa ya Dar es es salaam na kutuletea taarifa ifuatayo.

 

10 years ago

Michuzi

MIJI YA JAPAN YAZIDI KUITIKIA WITO WA UBALOZI NA KUTOA MISAADA ZIADI YA MAGARI YA HUDUMA

Baada ya Mji wa Ibaraki kutoa magari mawili ya kubeba wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto mwezi Februari, 2015, Miji mingine ya Japan nayo imeunga mkono jitihada hizo. Pichani Mhe. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania Japan na Mhe. Toshima Suzuki, Meya wa Mji wa Tochigi wakionyesha mkataba wa makubaliano wa msaada wa magari 10 ya huduma, gari 6 ni kwa ajili ya Zimamoto na 4 kubeba Wagonjwa. Gari mbili (moja la wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto) zimetolewa Machi 24 na mji huo kwa mwaka...

 

11 years ago

IPPmedia

Magufuli: Reconstruction of Magole Bridge on


IPPmedia
Magufuli: Reconstruction of Magole Bridge on
IPPmedia
A Team of experts from the Ministry of Works has started the construction of Magole Bridge at Mkundi River which was washed away by floods in Dumila, Kilosa District, Morogoro Region. Following the floods, Prime Minister Mizengo Pinda has assured the ...
Rescue, Relief Effort Goes OnAllAfrica.com

all 5

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shule ya Magole yapatiwa madawati

SHULE ya Msingi Magole iliyopo wilayani Kilosa, Morogoro imepatiwa msaada wa madawati 32 na Benki ya Posta Tanzania yenye thamani ya sh milioni tano. Meneja wa benki hiyo tawi la...

 

11 years ago

Mwananchi

Mikasa, vitimbi na shida mafuriko ya Magole-Dumila

>Kati ya watu wanaojutia mafuriko hayo ni mtoto  Mohamed Said, mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Magole, mkoani humo.

 

5 years ago

Mwananchi

Wakenya waanza kumiminika Tanzania

 Joto la uchaguzi wa nchini Kenya limezidi kupamba moto kufuatia

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ATUA MAGOLE, AKAGUA DARAJA LA DUMILA, AONGEA NA WANANCHI

Helkopta iliyokuja na Rais Kikwete ikitua eneo la daraja la Dumila mkoani Morogoro leo. Rais Kikwete akishuka katika helkopta…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindindua mradi wa ujenzi wa Barabara ya Magole-Turiani —Mziha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Kapuya akiweka jiwe la Msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Barabara ya Magole-Turiani –Mziha sehemu ya Magole-Turiani (48.6km) inayojengwa kwa kiwango cha lami. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani