Watakiwa kutafiti magonjwa na kushauri tiba bora
WATAALAMU wa sekta ya afya nchini wameshauriwa kutumia taaluma yao kutafiti visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii na kuleta majibu ya jinsi ya kutokomeza vimelea vya magonjwa hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi
5 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...
5 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI WATAKIWA KUJIKINGA DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
Na.Catherine Sungura-Chato
Wajasiliamali wote nchini wametakiwa kujikinga dhidi ya magonjwa ya milipuko wanapofanya biashara zao ndani na nje ya nchi
Elimu hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainabu Chaula wilayani hapa kwenye kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Chama cha Wanataaluma Waadventista Tanzania (ATAPE).
Amesema kongamano hilo la wajasiriamali, ni tendo jema lenye baraka, "nimekuwa kwenye ziara mikoa ya kigoma...
10 years ago
VijimamboMADAKTARI VIJANA WATAKIWA KUBOBEA PIA KATIKA MAGONJWA YA NGOZI
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospitalâ€!!
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...
11 years ago
Michuzi02 Jun
DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Tiba bora zisiishie hospitali za mijini
9 years ago
StarTV14 Nov
Manyara wajenga vyoo bora kiafya kudhibiti magonjwa ya mlipuko
Mkoa wa Manyara umeendelea kuchukua hatua mbalimbali kukabiliana na magonjwa ya milipuko kwa kujenga vyoo vinavyozingatia vigezo vya kiafya na kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama hususani vijijini ambako mara nyingi kuna changamoto ya ufahamu kuhusu elimu ya usafi wa mazingira.
Mkakati wa uboreshaji wa vyoo na miundo mbinu bora ya maji ni hatua itakayochangia kuiokoa jamii kutoka kwenye dhana ya kujisaidia ovyo vichakani na pia kutotumia maji safi na salama.
Shule ya msingi Guse...
10 years ago
MichuziWAGANGA WA TIBA ASILI ZANZIBAR WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI WA WIZARA YA AFYA