Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJASIRIAMALI WATAKIWA KUJIKINGA DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO


Na.Catherine Sungura-Chato
Wajasiliamali wote nchini wametakiwa kujikinga dhidi ya magonjwa ya milipuko wanapofanya biashara zao ndani na nje ya nchi
Elimu hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainabu Chaula wilayani hapa kwenye kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Chama cha Wanataaluma Waadventista Tanzania (ATAPE).
Amesema kongamano hilo la wajasiriamali, ni tendo jema lenye baraka, "nimekuwa kwenye ziara mikoa ya kigoma...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA A TO Z KIPO MBIONI KUTENGENEZA VAZI LA WATAALAMU WA AFYA LA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MLIPUKO



amanda wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akipokea barakoa 2000 kwa ajili ya Jeshi la Polisi mkoani Arusha zilizotolewa na Kampuni ya A to Z ya mkoani hapa ikiwa ni kuendeleza Juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha

Viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wakifuatilia hafla ya kupokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Buguruni wahofia magonjwa ya mlipuko

>Wakazi wa Mtaa wa Buguruni Kisiwani, wamesema afya zao ziko hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na mabwawa ya majitaka ya Sukita kufurika kinyesi kinachotiririka mitaani.

 

9 years ago

Habarileo

Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko

MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.

 

11 years ago

GPL

MAGONJWA YA MLIPUKO YANUKIA DAR‏

Picha juu na chini ni magari ya kuzolea taka ngumu ya kampuni mbalimbali yakiwa kwenye foleni ya kuingia Dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo miundo mbinu yake ni mibovu na kupelekea zoezi hilo kuchukua zaidi ya siku 4 mpaka kufanikisha kufikia eneo maalum la kumwagia taka ngumu. Pichani juu na chini hii ndio hali halisi ya muonekana wa eneo la Dampo la Pugu Kinyamwezi. Kwa hali hii kweli jamani hata hayo magari ya kuzoa taka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tungi wahofia magonjwa ya mlipuko

WAKAZI wa Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Moruwasa) kutowapatia majisafi na salama...

 

10 years ago

Mwananchi

Simu kutumika taarifa za magonjwa ya mlipuko

Wizara ya Afya, na Ustawi wa Jamii, itaanza kutumia mfumo mpya wa utoaji wa taarifa za magonjwa ya mlipuko kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuyadhibiti mara yanapogundulika kabla ya kusababisha madhara makubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita

Shule za msingi Ukombozi na Nyankumbu zilizopo mjini Geita mkoani hapa, zipo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kukosa vyoo na msongamano mkubwa wa wanafunzi kwenye madarasa.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko

Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi  ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.

Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu  katika  kutekeleza adhima ya kufanya uasafi  kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani