Tiba bora zisiishie hospitali za mijini
Baada ya kuapishwa, Rais John Magufuli alianza kazi kwa kuitembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako hakuridhishwa na huduma ya afya inayotolewa katika hospitali hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Hospitali zakabidhiwa vifaa tiba
TAASISI ya Mapafu imekabidhi vifaa tiba kwa hospitali za mikoa mitatu vitakavyosaidia kupunguza vifo vya watoto pindi wanapozaliwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Hospitali kuunganishwa mfumo wa tiba kwa mtandao
SERIKALI ina mpango wa kuziunganisha hospitali zote katika mfumo wa matibabu kwa njia ya mtandao ili wananchi waweze kutibiwa kwa wakati na kwa gharama nafuu. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa alisema hayo juzi mjini hapa wakati akifungua mkutano wa siku mbili uliohusisha wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), madaktari na wadau mbalimbali. Profesa Mbarawa alisema, mfumo huo utamwezesha mgonjwa ambaye yupo kijijini au hospitali ya mbali...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete Afungua Hospitali ya Utafiti na Tiba Dodoma
10 years ago
MichuziNHIF YATOA MSAADA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA BABATI
9 years ago
Habarileo19 Nov
Watakiwa kutafiti magonjwa na kushauri tiba bora
WATAALAMU wa sekta ya afya nchini wameshauriwa kutumia taaluma yao kutafiti visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii na kuleta majibu ya jinsi ya kutokomeza vimelea vya magonjwa hayo.
5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zE99vUbaF3o/XlOufZLgWmI/AAAAAAALfBI/WFEhbKnScA4RvTyyjI3OSllIbDwCBcx4wCLcBGAsYHQ/s72-c/dsc_0009.jpg)
HOSPITALI YA TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAHISIWA WA KIFUA KIKUU
BAADHI ya wananchi wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameipongeza Serikali kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru kuanza kuwatumia waganga wa Tiba asili na tiba mbadala waliosajiliwa kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kutoa rufaa ya kwenda hospitali kupata matibabu.
Wananchi hao waliokutwa katika kitongoji cha Mdingula kijiji cha Namasalau wakipata tiba katika moja ya kilinge cha mganga maarufu wa tiba asili na tiba mbadala Hausi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s72-c/5.jpg)
TRA yatoa msaada wa vifaa tiba kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja,Zanzibar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwuXFi2d3Xo/VGycyQ6tYfI/AAAAAAAGyPE/zHhEulVwbjY/s1600/1.jpg)