'Muda wa kupeleka dawa za ebola Afrika bado'
RAIS Barack Obama wa Marekani amesema ni mapema sana kupeleka dawa ya majaribio ya ugonjwa wa ebola Magharibi mwa Afrika, ingawa Liberia imetangaza hali ya hatari nchini humo kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo ambao hauoneshi dalili za kupungua.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania