KAULI YA MWANDOSYA
KAULI YA MWANDOSYA
Mzee Lowassa ni mtu makini, lakini Kikwete alipoona Lowassa anaikosoa serikali ya CCM, akamtuma Makonda amtukane. CCM hawajui kama Lowassa alikuwa anawatetea wananchi aliposema "viongozi wa serikali wanalalamika badala ya kutatua shida za wananchi, naomba viongozi wafanye maamuzi magumu; haiwezekani raia walalsmike na viongozi walalamike nani atatatua shida??Lowassa alikuwa mchapakazi akashawishi maji ya ziwa Victoria yawanufaishe watanzania, akasukuma ujenzi wa shule za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen27 Jun
Mwandosya: I’m best placed to win
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5l2OOSCBVlY/VSL1RuUHweI/AAAAAAAHPcc/EQ3y3I_jF0c/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Waziri Mwandosya ziarani Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-5l2OOSCBVlY/VSL1RuUHweI/AAAAAAAHPcc/EQ3y3I_jF0c/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2LChlIGcS8Y/VSL1RtXRpfI/AAAAAAAHPcY/YNqF8MF5Sos/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I8P_v5vn0A8/VSL7dnw9G5I/AAAAAAAHPc4/aFUkZFhDYEk/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s72-c/unnamed+(12).jpg)
profesa mwandosya atembelea rwanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Daily News27 Jun
Mwandosya returns nomination form
Daily News
THE Minister of State in the President's Office (Without Portfolio), Prof Mark Mwandosya, yesterday returned his nomination form as presidential hopeful saying he will advocate for good governance, improved social services and foster peace and tranquility ...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mwandosya: Wajumbe wachangie mafuriko
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalumu, Profesa, Mark Mwandosya, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukubali kutoa mchango wa posho yao ya siku moja ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_ZcBdxrwqto/VWV99TVudGI/AAAAAAAHaD0/0xLwQT8PzgU/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Mwandosya akutana na Pele
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ZcBdxrwqto/VWV99TVudGI/AAAAAAAHaD0/0xLwQT8PzgU/s640/unnamed.jpg)
Pelé aliichezea timu yake klabu ya Santos, Brazil kuanzia mwaka 1956 mpaka mwaka 1974.Baada ya kustaafu alijiunga na klabu ya New York ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)