Waziri Mwandosya ziarani Zanzibar
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais -Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya akifungua kisima cha maji cha Mradi wa SEMUSO uliopo Kibandamaiti, Zanzibar.Nyuma yake mwenye mawani ni Mheshimiwa Mussa Mussa Mbunge wa Amani.Baada ya kufungulia bomba la maji ya Mradi wa SEMUSO,Kibandamaiti,Zanzibar,Waziri Mwandosya alimtwisha ndoo ya maji Ndugu Ali Magoha, Mjumbe wa Kamati ya Mradi wa SEMUSO, kuashiria kuyafikisha maji kwa watumiaji.Tanki la maji la Mradi wa Maji wa SEMUSO lililo Kibandamaiti,Zanzibai,Mradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWaziri Mwandosya ziarani nchini Burundi
11 years ago
Michuziprofesa mwandosya ziarani Burundi
11 years ago
MichuziProfesa Mark Mwandosya ziarani Burundi
10 years ago
MichuziWaziri Mwandosya akutana na Pele
Akiwa njiani kwenda Hanoi, Vietnam, Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais ( Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya, amekutana na Edson Arantes do Nascimento (Pelé) mwanamichezo maarufu sana duniani. Pelé atatimiza umri wa miaka 75 ifikapo tarahe 23 Oktoba,2015. Katika uhai wake, Pelé aliweza kuingiza magoli 1283 katika michezo ya ushindani wa mpira wa miguu.
Pelé aliichezea timu yake klabu ya Santos, Brazil kuanzia mwaka 1956 mpaka mwaka 1974.Baada ya kustaafu alijiunga na klabu ya New York ...
11 years ago
MichuziMKE WA MFALME MSWATI ZIARANI ZANZIBAR.
10 years ago
Michuziziara ya kikazi ya profesa mark mwandosya zanzibar
10 years ago
MichuziZiara ya Waziri Mwandosya nchini Ethiopia
10 years ago
MichuziWaziri Membe ziarani nchini Kuweit
11 years ago
MichuziWaziri wa Habari ziarani nchini China
Katika ziara hiyo ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga, Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na Mkurugenzi wa Utangazaji TCRA Bwana Habbi Gunze. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangala na ujumbe wake...