Waziri Membe ziarani nchini Kuweit
![](http://2.bp.blogspot.com/-3a6E_SqR4ds/VS9jyDYo74I/AAAAAAAHRco/myuJwaiP1-8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akiwasili hotelini nchini Kuwait kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ambapo atakutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait na Mkurugenzi Mkuu wa Kuwait Fund.Anayeongozana na Waziri Membe (mwenye kanzu nyeupe) ni Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib ambaye alimpokea uwanja wa ndege.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akiwa kwenye picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PEVxTWean-c/VLZPZr6RHdI/AAAAAAAG9UE/3XAxNgl-Beg/s72-c/zimbabwe_SADC-bernard-membe-vert130802_300_420_100.jpg)
MH. MEMBE ZIARANI NCHINI URUSI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PEVxTWean-c/VLZPZr6RHdI/AAAAAAAG9UE/3XAxNgl-Beg/s1600/zimbabwe_SADC-bernard-membe-vert130802_300_420_100.jpg)
Mhe. Membe anatarajiwa kutumiafursa hiyo kuhimiza ushirikiano wa kiuchumi na Urusi, hususan katika maeneo ya biashara, uwekezaji na ubadilishanaji wa teknolojia. Tanzania inaweza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-94JiXaMywSM/U3zJS4yZsQI/AAAAAAAFkMk/R4gBk_4rMvk/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Waziri Mwandosya ziarani nchini Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-94JiXaMywSM/U3zJS4yZsQI/AAAAAAAFkMk/R4gBk_4rMvk/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--SB0Hamd7T0/U3zJsXHOHsI/AAAAAAAFkMs/fDHOTvZez0o/s1600/unnamed+(14).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h7Ro3K4Y_JY/U-SOThiJI2I/AAAAAAAF934/eru5HRiu-4A/s72-c/IMG-20140807-WA0009.jpg)
Waziri wa Habari ziarani nchini China
Katika ziara hiyo ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga, Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na Mkurugenzi wa Utangazaji TCRA Bwana Habbi Gunze.
![](http://2.bp.blogspot.com/-h7Ro3K4Y_JY/U-SOThiJI2I/AAAAAAAF934/eru5HRiu-4A/s1600/IMG-20140807-WA0009.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2w1oM9jocEQ/U-SOUd7YsiI/AAAAAAAF938/0d1inlEUanE/s1600/IMG-20140807-WA0010.jpg)
11 years ago
Michuzi30 May
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ziarani nchini
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA VIETNAM ZIARANI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ziarani nchini Singapore
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwZ0wfQF7sg/U_8FMJ9lrgI/AAAAAAAGKOI/2wL3FNYqXHg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s72-c/IMG-20150417-WA0036.jpg)
Waziri Wasira na ujumbe wake ziarani nchini Poland
Pamoja na mambo mengine, ziara hii inahusu Ujenzi wa kiwanda cha Matrekta ya Ursus na Ujenzi wa Maghala ya kuhifadhi chakula chini ya NFRA.
Katika ziara hiyo Mhe. Wasira ameambatana na Mkuu wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) Charles Walwa, pamoja na Maofisa wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na SUMA JKT.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s1600/IMG-20150417-WA0036.jpg)
11 years ago
Michuzi06 Jun
WAZIRI MWANDAMIZI WA MAMBO YA NJE NA NDANI WA SINGAPORE ZIARANI NCHINI
10 years ago
Michuzi17 Feb
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NA UJUMBE WAKE ZIARANI NCHINI SINGAPORE
![luk1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png)